Pre GE2025 Naona kuna SMS inasambaa kuelekeza wanaccm warekodiwe kupinga maandamano; soon zitaanza kwenda viral

Pre GE2025 Naona kuna SMS inasambaa kuelekeza wanaccm warekodiwe kupinga maandamano; soon zitaanza kwenda viral

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Muda mfupi baada ya Mbowe kusema kutakuwa na maandamano tarehe 24.01.24 maelekezo yametolewa kila kona watafutwe wanachama wahojiwe na vyombo vya habari wapinge maandamano hayo.

Siamini katika maandamano lakini pia siamini katika falsafa yakutumia wajasiriamali kwa kigezo cha amani wasipaze sauti kutaka mabadiliko ya mifumo. Mama muuza mboga anaamini hakuna umuhimu wa katiba mpya kwa sababu tu familia za watawala zimemwekea maneno mkononi

Kama wanachama wameanza kupewa maelekezo je maandamano hayo ya amani yatafanikiwa?
 
Muda mfupi baada ya Mbowe kusema kutakuwa na maandamano tarehe 24.01.24 maelekezo yametolewa kila kona watafutwe wanachama wahojiwe na vyombo vya habari wapinge maandamano hayo.

Siamini katika maandamano lakini pia siamini katika falsafa yakutumia wajasiriamali kwa kigezo cha amani wasipaze sauti kutaka mabadiliko ya mifumo. Mama muuza mboga anaamini hakuna umuhimu wa katiba mpya kwa sababu tu familia za watawala zimemwekea maneno mkononi

Kama wanachama wameanza kupewa maelekezo je maandamano hayo ya amani yatafanikiwa?
Tusubiri tuone
 
Back
Top Bottom