Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Nimejaribu kufuatilia maandamano yanayofanyika USA. Ukweli ni kwamba watu wamechoka na lockdown.
CORONA kweli ipo lakini kwa jinsi ilivyowekwa ni tofauti na uhalisia. Nimeona maamdamano Italy, USA nk.
Watu wananjaa wanaingia kwenye maduka na kubomoa.
CORONA kweli ipo lakini kwa jinsi ilivyowekwa ni tofauti na uhalisia. Nimeona maamdamano Italy, USA nk.
Watu wananjaa wanaingia kwenye maduka na kubomoa.