Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Kwanza kabisa nasikia sasa mpo tayari kuhutubiwa na rais ambaye hapo awali mlidai hakuingia madarakani kwa kura halali bali kwa uchafuzi.
Sasa nasikia mpo tayari kufanya nae kazi, kuhakikisha ilani ya CCM inatekelezwa ili watanzania wapate maendeleo.
Hongereni sana wanaChadema maana sasa nyie ni wanaCcM A na sio CCM B kama ilivyokuwa awali. Bravo bravo wanaCdm.
Sasa nasikia mpo tayari kufanya nae kazi, kuhakikisha ilani ya CCM inatekelezwa ili watanzania wapate maendeleo.
Hongereni sana wanaChadema maana sasa nyie ni wanaCcM A na sio CCM B kama ilivyokuwa awali. Bravo bravo wanaCdm.