Impactinglife
Member
- Apr 15, 2019
- 41
- 99
Habari wa kuu! Mimi sio nabii Wala sio mpiga ramli ila Kwa taarifa za ndani kabisa ni kwamba Kuna mambo matatu tutarajie kuyaona kuanzia January 2025.
1). Tundu Lissu kushinda uchaguzi Kwa asilimia ndogo sana ndani ya CHADEMA na MBOWE kukubali Matokeo..... Kinachoendelea CHADEMA ni Matokeo ya intelijensia Kali ambayo haijawahi Fanya na chama Chochote chá upinzani. Lengo lao ni ku attract attention ya watanzania na kurudisha Imani ya chama mbele ya umma.
- Mbowe ni chambo tu ndani ya ndoano ila samaki ni Lissu.
2). Kuna makundi ndani ya CHAMA TAWALA yataanza kuungana na upinzani Kudai reforms kueleke general election Pamoja na asasi za kiraia na Kidini... Mwenye nyumba ajiandae Kwa pressure kubwa kutoka ndani na nje ya nchi Juu ya reforms mbali mbali na Hii itarudisha Ari ya watanzania kurudi kwenye sanduku la kura na kupiga kura Kwa kishindo.
3). SIO LISSU WALA MBOWE URAIS 2025. Yale ya 2015 yatajirudia na safari Hii ni Kwa CHADEMA kupata ideal candidate ambaye anaweza kuitikisa nchi na kuhamasisha watu Kudai Matokeo yawe huru.
Huyu mtu SIO mwingine ni Askofu Gwajima.... Kuna sarakasi zitapigwa ndani ya chama na kura ya wakupeperusha bendera ya chama itamuangukia mwana mpotevu ambaye atarudi na kundi la watu 19. Na nyuma yake atapewa support kubwa na Vyombo vya dora na makundi kinzani yaliyopo ndani ya CHAMA TAWALA.....
Tujiandae Kwa mnyukano mkali kati ya GWAJIMA DHIDI YA MAMA.
1). Tundu Lissu kushinda uchaguzi Kwa asilimia ndogo sana ndani ya CHADEMA na MBOWE kukubali Matokeo..... Kinachoendelea CHADEMA ni Matokeo ya intelijensia Kali ambayo haijawahi Fanya na chama Chochote chá upinzani. Lengo lao ni ku attract attention ya watanzania na kurudisha Imani ya chama mbele ya umma.
- Mbowe ni chambo tu ndani ya ndoano ila samaki ni Lissu.
2). Kuna makundi ndani ya CHAMA TAWALA yataanza kuungana na upinzani Kudai reforms kueleke general election Pamoja na asasi za kiraia na Kidini... Mwenye nyumba ajiandae Kwa pressure kubwa kutoka ndani na nje ya nchi Juu ya reforms mbali mbali na Hii itarudisha Ari ya watanzania kurudi kwenye sanduku la kura na kupiga kura Kwa kishindo.
3). SIO LISSU WALA MBOWE URAIS 2025. Yale ya 2015 yatajirudia na safari Hii ni Kwa CHADEMA kupata ideal candidate ambaye anaweza kuitikisa nchi na kuhamasisha watu Kudai Matokeo yawe huru.
Huyu mtu SIO mwingine ni Askofu Gwajima.... Kuna sarakasi zitapigwa ndani ya chama na kura ya wakupeperusha bendera ya chama itamuangukia mwana mpotevu ambaye atarudi na kundi la watu 19. Na nyuma yake atapewa support kubwa na Vyombo vya dora na makundi kinzani yaliyopo ndani ya CHAMA TAWALA.....
Tujiandae Kwa mnyukano mkali kati ya GWAJIMA DHIDI YA MAMA.