Naona suala la michepuko linaonekana ni sawa kwa upande mmoja

Naona suala la michepuko linaonekana ni sawa kwa upande mmoja

Tajiri Kichwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2017
Posts
9,021
Reaction score
22,016
Umalaya ndani ya ndoa si kitu cha kujivunia na cha kusema sawa mwache afanye. Naona wadau wengi wanaona ni sawa kwa mtu aliyeamua kwa ridhaa yake mwenye kuoa kua malaya na kufanya dhambi ya usaliti. Utasikia mwanaume hachunguzi. Je, yeye yuko huru kufanya usaliti au uzinzi nje ya ndoa?

Umalaya au usaliti ni kitu ambacho hakiitaji uvumilivu. Mwanamke au mwanaume ukikuta text za mpenzi au mdoa wako hutopendezwa.

Je, mwanaume ukikuta michepuko ya mkeo inasifia penzi na utamu wa mkeo utapendezwa na ilo swala.

Tuache kusapoti ujinga, kama unapenda papuchi ovyo chagua kutokua na mpenzi au kutokuoa.

Kila kiumbe kina hisia ni vyema tuheshimu hisia za kila mmoja.
 
We na ni great thinker?
Wanawake wote Hawa Nani atawapa huduma?
Huwaonei huruma?
Pamoja na Suleiman kuwa mzinzi kupindukia lakini Mungu aliendelea kumbariki na kuongea naye.
Walitofautiana tu pale alipooa mke asiyekuwa wa kabila ambalo Mungu hakuafiki na wakamgeuza na kuacha mambo ya Mungu.
Mimi ni Nani hata niwe na mwanamke mmoja tu?
Ni mama yangu huyo?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kwani mkuu tunafanana au tupo sawa?

Maadili ya Kiafrika kuanzia mwanzo yanachukulia uchepukaji kwa mwanaume kama urijali.

Ukitaka mambo ya haki sawa nenda kwa Wazungu, maadili yao hayaruhusu uchepukaji kwa wote.
 
Kwani mkuu tunafanana au tupo sawa?

Maadili ya Kiafrika kuanzia mwanzo yanachukulia uchepukaji kwa mwanaume kama urijali.

Ukitaka mambo ya haki sawa nenda kwa Wazungu, maadili yao hayatuhusu uchepukaji kwa wote.
Ndoa zote za wazungu zinazovunjika ni sababu ya michepuko.
Halikwepeki.
Uwe mzungu au mndengeleko kama Mimi.
Mwanaume ni Yule Yule tu.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri umesoma comments za wadau kwa yule demu amekaa miaka miwili kwenye ndoa ana mtoto mmoja sasa amekuta text kwa mumewe za mahaba na demu mwingine...mwanaume mwenzetu ametetewa sana pale
 
We na ni great thinker?
Wanawake wote Hawa Nani atawapa huduma?
Huwaonei huruma?
Pamoja na Suleiman kuwa mzinzi kupindukia lakini Mungu aliendelea kumbariki na kuongea naye.
Walitofautiana tu pale alipooa mke asiyekuwa wa kabila ambalo Mungu hakuafiki na wakamgeuza na kuacha mambo ya Mungu.
Mimi ni Nani hata niwe na mwanamke mmoja tu?
Ni mama yangu huyo?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Unaleta story za kusadikika kwenye maisha halisia
 
Kwani mkuu tunafanana au tupo sawa?

Maadili ya Kiafrika kuanzia mwanzo yanachukulia uchepukaji kwa mwanaume kama urijali.

Ukitaka mambo ya haki sawa nenda kwa Wazungu, maadili yao hayaruhusu uchepukaji kwa wote.

Unaweza nieleza mwanzo upi huo na mfano wa hizo maadili zinaruhusu mtu kuchepuka
 
Nafikiri umesoma comments za wadau kwa yule demu amekaa miaka miwili kwenye ndoa ana mtoto mmoja sasa amekuta text kwa mumewe za mahaba na demu mwingine...mwanaume mwenzetu ametetewa sana pale

Wakati jambo alilofanya si sawa. Si hapo tuu hii kasumba wanaume tunaibariki ila sisi mwanamke tuu akirudi kalewa tunawaka kupita maelezo
 
Unaweza nieleza mwanzo upi huo na mfano wa hizo maadili zinaruhusu mtu kuchepuka
Wazee wetu wameoa wake wengi na siyo jambo la ajabu. Una ndugu yako wa kike ameolewa na wanaume wengi na hamumshangai?

Mwanaume akikamatwa ugoni ndoa inaendelea na watu wanaona kawaida, ila mwanamke akikamatwa na ndoa ikaendelea tunamshangaa huyo mwanaume.
 
Wazee wetu wameoa wake wengi na siyo jambo la ajabu. Una ndugu yako wa kike ameolewa na wanaume wengi na hamumshangai?

Mwanaume akikamatwa ugoni ndoa inaendelea na watu wanaona kawaida, ila mwanamke akikamatwa na ndoa ikaendelea tunamshangaa huyo mwanaume.

Si kwa ubaya ila wazee tajwa walikua wanatabia za kimalaya malaya. Sina ndugu wa kike mwenye tabia za kimalaya aliyeolewa na wanaume wengi. Wewe ndio unaona kawaida mwanaume akishikwa ugoni.
 
Wazee wetu wameoa wake wengi na siyo jambo la ajabu. Una ndugu yako wa kike ameolewa na wanaume wengi na hamumshangai?

Mwanaume akikamatwa ugoni ndoa inaendelea na watu wanaona kawaida, ila mwanamke akikamatwa na ndoa ikaendelea tunamshangaa huyo mwanaume.
kuna tofauti kati ya kuoa wanawake wengi na kuwa mwanaume Malaya malaya
 
Naungana na mtoa mada.

Kuchepuka sio jambo zuri..vinginevyo wanawake nao wawe huru kwa hicho hicho kigezo cha tamaa.

Bahati mbaya kwa wanaume imekua tofauti mkewe akichepuka tu inakua matata pengine hata kuishia kujiua kisa wivu wa kimapenzi.
 
Kuna vitu havizuiliki waungwana hebu fikiria unahustle kwa ajili ya familia ulipe pango, ada, chakula , mavazi, mwamamke anenepe vizuri na nguo anamuachia dada wa kazi akufulie yeye anakaa tu na simu na TV alafu kitandani hana ubunifu hata kidogo how can you handle that?

Wanaume wengi wanacheat for the reason of balancing stress na kufukia madhaifu fulani, wewe kama mwanamke cheat kwenye mazingira hiyo kesho asubuhi nakuwahisha mbezi louis na shangazi kaja (china bag) yako urudi kwenu
 
Back
Top Bottom