Nafaka JF-Expert Member Joined Feb 17, 2015 Posts 12,154 Reaction score 31,246 Jan 30, 2021 #1 Nimepokea msg kutoka vodacom wanasema "Ili kuendelea kutoa huduma bora zaidi tutafanya marekebisho kwenye vifurushi vyetu." Bila shaka maboresho nikupunguza vifurusho kama tigo na kupandisha bei. Acha tuisome namba
Nimepokea msg kutoka vodacom wanasema "Ili kuendelea kutoa huduma bora zaidi tutafanya marekebisho kwenye vifurushi vyetu." Bila shaka maboresho nikupunguza vifurusho kama tigo na kupandisha bei. Acha tuisome namba
Smart Guy JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 6,808 Reaction score 6,934 Jan 30, 2021 #2 Mitano tena
holy holm JF-Expert Member Joined May 6, 2017 Posts 4,793 Reaction score 9,101 Jan 30, 2021 #3 Walishapandisha wanataka kupandisha tena Mitano tena.
davejillaonecka JF-Expert Member Joined Oct 17, 2018 Posts 697 Reaction score 749 Jan 30, 2021 #4 Sisi wengine hatauangalii tumekaa na line muda mrefu kiasi gani.... Tuna hamia tu kwenye mtandao wenye gb ya buku.. Tigo miezi mi4 kama sio 6 nyuma. Walikwanyua ki GB cha buku, na kuja huku voda, sasa sishindwi kuhamia haloteli. [emoji23] five again
Sisi wengine hatauangalii tumekaa na line muda mrefu kiasi gani.... Tuna hamia tu kwenye mtandao wenye gb ya buku.. Tigo miezi mi4 kama sio 6 nyuma. Walikwanyua ki GB cha buku, na kuja huku voda, sasa sishindwi kuhamia haloteli. [emoji23] five again
riro23 JF-Expert Member Joined Sep 16, 2013 Posts 788 Reaction score 773 Jan 30, 2021 #5 Baada ya miezi 4 kuiacha voda hatimaye wamerudisha vifurushi kwangu kama unavyoona
Maseto JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 944 Reaction score 545 Jan 30, 2021 #6 Airtel iko poa; elfu 20 kwa GB 22 kwa mwezi.Mimi huwa zinanitosha.
Maseto JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 944 Reaction score 545 Jan 30, 2021 #7 Airtel kuongea mitandao yote kiasi cha dakika 1100 kwa mwezi kwa elfu 10 tu.
Baba Joseph17 JF-Expert Member Joined Jul 15, 2013 Posts 9,517 Reaction score 9,762 Jan 30, 2021 #8 Maseto said: Airtel iko poa; elfu 20 kwa GB 22 kwa mwezi.Mimi huwa zinanitosha. Click to expand... Tatizo LA airtel internet yao iko slow sana
Maseto said: Airtel iko poa; elfu 20 kwa GB 22 kwa mwezi.Mimi huwa zinanitosha. Click to expand... Tatizo LA airtel internet yao iko slow sana
Ryzen JF-Expert Member Joined Dec 6, 2012 Posts 7,301 Reaction score 8,706 Jan 30, 2021 #9 Vodacom..Hapa Kasi tu.
gachacha JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 2,584 Reaction score 3,977 Jan 30, 2021 #10 Airtel ni nzuri kama unaishi Morocco, na penye 4G pengine ni usakala tu, ngoja tukomae na halotel siku wakizingua nahamia zantel
Airtel ni nzuri kama unaishi Morocco, na penye 4G pengine ni usakala tu, ngoja tukomae na halotel siku wakizingua nahamia zantel