Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

Naota mdogo wangu ananikaba usiku. Je, anaweza kuwa mchawi?

babyfancy

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
2,176
Reaction score
6,187
Msaada jamanI

Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza umemtambua nikamjibu hapana akanyamaza tu na sasa hivi ana jeuri matusi haangaliagi wa kumtukana.

Je, anaweza kuwa mchawi kweli au vipi na sio mimi tu ninaye muota hata ndugu zangu wengine pia yaani mkigombana mchana tu usiku unalo na juzi nimemuuliza kakataa kasema hajui chochote.
 
Kama unayaishi maisha ya dhambi hayo ndiyo matokeo yake, Shetani anapata njia rahisi kukuvamia katika shughuli zako za kila siku kuanzia ndoto mpaka utendaji wako kikazi, ili uweze kumkomesha shetani na wakala wake wote,

Cha kufanya sasa ili uikoe nafsi yako.
Tubu dhambi zako zote hata zile ambazo huzikumbuki kwa mwenyeenzi Mungu.

Samehe wote waliokukosea maana usiposamehe huwezi kusamehewa mbele ya Kiti cha ENZI.

Ita ulinzi wa roho Mtakatifu katika maisha yako yote,

Kumbuka kama kuna maagano umewai kufanya kwa waganga wa kienyeji, yakatae kwanza ndipo uje kwa Mungu anaeishi.
 
Kama unayaishi maisha ya dhambi hayo ndiyo matokeo yake, Shetani anapata njia rahisi kukuvamia katika shughuli zako za kila siku kuanzia ndoto mpaka utendaji wako kikazi, ili uweze kumkomesha shetani na wakala wake wote,

Cha kufanya sasa ili uikoe nafsi yako.
Tubu dhambi zako zote hata zile ambazo huzikumbuki kwa mwenyeenzi Mungu.

Samehe wote waliokukosea maana usiposamehe huwezi kusamehewa mbele ya Kiti cha ENZI.

Ita ulinzi wa roho Mtakatifu katika maisha yako yote,

Kumbuka kama kuna maagano umewai kufanya kwa waganga wa kienyeji, yakatae kwanza ndipo uje kwa Mungu anaeishi.
Mimi ni mtu ambaye nimekulia kwenye imani na sina mambo ya waganga
 
Msaada jamanI

Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza umemtambua nikamjibu hapana akanyamaza tu na sasa hivi ana jeuri matusi haangaliagi wa kumtukana.

Je, anaweza kuwa mchawi kweli au vipi na sio mimi tu ninaye muota hata ndugu zangu wengine pia yaani mkigombana mchana tu usiku unalo na juzi nimemuuliza kakataa kasema hajui chochote.
Ogea chumvi uliyochanganya na maji na ndimu hiyo hali itakoma.. Mdogo wako tayari keshatekwa huko
 
Msaada jamanI

Nina mdogo wangu wa kike ana miaka 18 mwanzo nilikua naota wachawi wanakuja kumuiba nyumban nikawa nikawa namuokoa na kuna siku nilikua nimeenda nyumbani na tulilala wote usiku nikaota ananikaba tulipambana kweli na asubuhi yake nikamwambia kuna mtu kanikaba usiku akaniuliza umemtambua nikamjibu hapana akanyamaza tu na sasa hivi ana jeuri matusi haangaliagi wa kumtukana.

Je, anaweza kuwa mchawi kweli au vipi na sio mimi tu ninaye muota hata ndugu zangu wengine pia yaani mkigombana mchana tu usiku unalo na juzi nimemuuliza kakataa kasema hajui chochote.
Nataka nikupe tafsi ya ndoto zako ila sitaki kuwagombanisha
Ukiona mtu umelala nae hapo home anakuja kuchukuliwa usiku
Ni nafsi yake inaenda kutumikishwa huko na ulimwengu mwingine.
2. Kama mtu huyo huyo anarudi Sasa kukukaba kwenye ndoto Ina maana tayari yuko kazini alishapewa na majukumu kiroho
Sasa usigombane nae msaidie ...mwisho wake utakuwa mbaya usipofanya hivyo
 
Hamna lolote nyumba ya urithi inawasumbua unataka kumuwahi mwenzako tu

Hisia
Kiukweli ni kwamba nampenda sana mdogo wangu na ndio maana naumia kuota hivyo cause mimi ndoto zangu huwa ni kweli na kuna ndugu yangu mwingine nilikua namuota hivyo hivyo na madhara yake tumeyaona tayar kafa mwaka jana na chanzo cha kifo chake ni vile nilikua naota
 
Kiukweli ni kwamba nampenda sana mdogo wangu na ndio maana naumia kuota hivyo cause mimi ndoto zangu huwa ni kweli na kuna ndugu yangu mwingine nilikua namuota hivyo hivyo na madhara yake tumeyaona tayar kafa mwaka jana na chanzo cha kifo chake ni vile nilikua naota
Baby fancy kwanini unaamini ndoto zako ni kweli
 
Ogea chumvi uliyochanganya na maji na ndimu hiyo hali itakoma.. Mdogo wako tayari keshatekwa huko
Ni kwamba famalia imesha wahi pitia vitu kama hivyo na nilikua naota hivyo hivyo na nimempoteza ndugu yangu mwaka jana na sitak kumpoteza mwingine mimi
 
Back
Top Bottom