Naota nime Piz..

BACHELA

Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
26
Reaction score
1
Jaman nisaedien yaan kila ck naamka asubuh nimepiz lakin siot nipo na demu na wala nikiwa nagonga cjisikii wala nn nisaidien jaman mwenzenu
 
Mkuu huo ndiyo ukuaji mzuri yaani huna
haja ya kuwa na hofu maana ni hali ya kawaida.
 
Duu ,hii ulipost saa 21:35...tayari ulikuwa umesha Piz!!!??hilo ni janga! Wahi haraka kwa mganga wa kienyeji ....kwenye kiganja mshauri mganga aangalie tafsiri ya jina lako huenda tatizo limeanzia hapo
 
...jini mahaba limekupenda...
 
...jini mahaba limekupenda...

nami nilitaka kumwambia hivyo...

Ila ajitahidi asijichue chue hasa wakati wa kulala, pia jitahidi usilale chali muda mrefu...
 
Jaman nisaedien yaan kila ck naamka asubuh nimepiz lakin siot nipo na demu na wala nikiwa nagonga cjisikii wala nn nisaidien jaman mwenzenu

Mbona unatuchanganya, mara unaota na mara tena hauoti...which is which au kwa kuwa act ya kupiz inakutokea usingizini basi umeamua kuiita ni ndoto...
Afterall sidhani kama una kasoro yoyote ni mihemko tu
 
so kilichopungua hapo kwenye ndoto yako ni demu eti?
 
Jaman nisaedien yaan kila ck naamka asubuh nimepiz lakin siot nipo na demu na wala nikiwa nagonga cjisikii wala nn nisaidien jaman mwenzenu


Ni jambo la kawaida kwenye ukuaji, naamini wakati utafika hali hiyo itatoweka.
Sio tatizo kusema kwamba unahitaji ushauri wa kitabibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…