tanzanianprince
Member
- Jun 29, 2022
- 15
- 28
Wakuu natumaini mko poa
Nampango wa kusafiri kutoka Arusha kuelekea Mwanza leo mida ya jioni kuanzia saa moja usiku, hivi naweza tumia usafiri gani kuelekea huko leo jioni, kama kuna gari za binafsi, IT au gari ya mzigo ambayo naweza pata naomba tupeane connection wakuu [emoji1545]
Nampango wa kusafiri kutoka Arusha kuelekea Mwanza leo mida ya jioni kuanzia saa moja usiku, hivi naweza tumia usafiri gani kuelekea huko leo jioni, kama kuna gari za binafsi, IT au gari ya mzigo ambayo naweza pata naomba tupeane connection wakuu [emoji1545]