Plot4Rent Napangisha Chumba na sebule savei

Plot4Rent Napangisha Chumba na sebule savei

Dadio

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
359
Reaction score
42
Chumba sebule jiko pamoja na choo chake kinapangishwa maeneo ya savei dakika 7 tokea mlimani city. Bei yake ni sh 180, 000/= inahitajika kodi ya mwaka.

Nb hakuna uzio ila kuna usalama na parking kwa wale mwenye gar. Hakuna dalali. Kwa atakayekiitaji awasiliane na mimi. 0682540067
 
nitafutie kama hiyo kwa 150 miezi 4 kwanza
 
Tafuta madalali ila sizan kama utapata nyumba kwa kulipia miez 4
 
Back
Top Bottom