mapema
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 640
- 1,881
Toka 2021 nimekuwa nikitumia Twitter ku comment na ku like ku following, ila miaka ya hivi karibuni imenizuia kufanya hayo yote isipo kuwa ku like.
Naomba msaada kama kuna namna ya kufanya niweze kutumia kwa ukamilifu, nimejaribu kuwasiliana nao inashindikana au sijajua namna nzuri ya kuwasiliana nao, nimejaribu kufungua account mpya imeshindikana pia.
Natanguliza shukurani.
Naomba msaada kama kuna namna ya kufanya niweze kutumia kwa ukamilifu, nimejaribu kuwasiliana nao inashindikana au sijajua namna nzuri ya kuwasiliana nao, nimejaribu kufungua account mpya imeshindikana pia.
Natanguliza shukurani.