incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
Habari wakuu. Hapa nimepambana since asubuhi hadi sasa kijasho kinanitoka, kuna mfumo mpya umetambulishwa na Tamisemi kwa wale wanaohitaji lesseni za biashara unaingia hapa.
Tausi.tamisemi.go.tz.
Ila kila nikiingia wakinitaka niingize NIN namba (Namba nida) then next ni create password wanakataa na huu ndio ujumbe napokea.
Msaada kwa wanaojua hapo nafeli wapi.
kaka umewasiliana nao kupitia namba Gani....kama unazo nipasie Nina shida naomfumo wao umefeli tangu ijumaa usiku, nilijaribu kuwasilisha tatizo kwao wanalitambua hilo. hakuna unapokosea boss
mm sijapata tabu nimeprint Bill nikapata Control namba nikalipa Mpesa nika print license fasta tu ndo iyokaka umewasiliana nao kupitia namba Gani....kama unazo nipasie Nina shida nao
mm sijapata tabu nimeprint Bill nikapata Control namba nikalipa Mpesa nika print license fasta tu ndo iyoView attachment 2749131
piga 0629706263 Nikupe muongozoInahitaji kuambatanisha nini na nini hadi kupata leseni ?
ivi hii mfumo hawa jamaa wa Halmashauri wakipita kukagua hawaweza kukuzingua kweli?mm sijapata tabu nimeprint Bill nikapata Control namba nikalipa Mpesa nika print license fasta tu ndo iyoView attachment 2749131
wamzingue kivipi Tena??ivi hii mfumo hawa jamaa wa Halmashauri wakipita kukagua hawaweza kukuzingua kweli?
Maana hawa jamaa hawaeleweki kabisawamzingue kivipi Tena??
kaka kazi ya mfumo maana yake nikuwa mtanzania uutumie hakuna atakaye kuzingua kutumia mfumo ulioandaliwa kwaajili ya kuendana na mabadiliko ya teknolojia, mambo yanachange sikuhizi unaweza pita usajili leseni nk bila kufika ofisiniMaana hawa jamaa hawaeleweki kabisa
Yani hata TRA kufanyiwa tax clearance haiitajiki tena, ukishaingia tu kwenye hiyo tovuti unajaza details, unalipia unapewa leseni?kaka kazi ya mfumo maana yake nikuwa mtanzania uutumie hakuna atakaye kuzingua kutumia mfumo ulioandaliwa kwaajili ya kuendana na mabadiliko ya teknolojia, mambo yanachange sikuhizi unaweza pita usajili leseni nk bila kufika ofisini
Binafsi nimehangaika wiki nzima napewa ujumbe huo wa sorry....mfumo wao umefeli tangu ijumaa usiku, nilijaribu kuwasilisha tatizo kwao wanalitambua hilo. hakuna unapokosea boss
kwa business names unapooanza tax clearance hahitajiki kupata leseni.Yani hata TRA kufanyiwa tax clearance haiitajiki tena, ukishaingia tu kwenye hiyo tovuti unajaza details, unalipia unapewa leseni?
screenshot nitext whatsapp hiyo ujumbe 0629706263Binafsi nimehangaika wiki nzima napewa ujumbe huo wa sorry....