[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka kwa sauti. Sijui tumsaidiaje? Labla hataki kuchamba huyuMbona hueleweki. Tatizo lako ni kuhara, kuchamba hutaki au unataka makimba mkuu?
Umenifanya niimalize siku yangu na kicheko kikubwaMbona hueleweki. Tatizo lako ni kuhara, kuchamba hutaki au unataka makimba mkuu?
Kuna uzi ulinichekeshaga mpaka nililiaa eti alikua akienda chooni anajisaidia choo kinajaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo we hupendi kuchamba aisee we mchafu kinooma
Tatzo ni hauna maji au? Hueleweki
Habari zenu madakitari mliopo hapa jf doctor...
Naomba mnisaidie,kwa muda sasa napata choo kama bata vile yaani kama una harisha lakini siyo,nakunya choo kinatawanyika badala ya kufyatua makimba kama zamani.
Nakumbuka zamani mtu unafyatua pyaaa...huna haja ya kuchamba lakini siku hizi hali ni tofauti huwezi kunya bila kuchamba tena maji yawe mengi.
JE KUNA TATIZO GANI HAPA???
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji1]Mbona hueleweki. Tatizo lako ni kuhara, kuchamba hutaki au unataka makimba mkuu?
Mkuu tufafanulie tu kila aina ya tatizo hapo. Wengine tuna matatizo kama hayo lakini hatusemi. Ubarikiwe sana