Napata hamu ya tendo la ndoa lakini nikikaribia naishiwa nguvu ya kuendelea

fikira

Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
14
Reaction score
4
Ninaomba ushauri.

Jana nimefuatwa na anko wangu(48 yrs) kwa ushauri wa kuokoa ndoa yake. Ameoa na watoto 4.Kila anapopata hamu ya tendo la ndoa uume wake husimama, lakini anapokua katika romance, unasinyaa, tatizo limejirudia mara kadhaa kwa miezi sasa.

Anaogopa kutumia madawa asije akajimaliza kabisa maana mengine yana madhara .Nimemshauri aende hosp, ameenda na kuambiwa apunguze mawazo, amefanya hivyo lakini tatizo lingalipo.

Mwenye uzoefu atupe ushauri.
 
Ninae anko wangu (48 yrs),ameoa na ana watoto4.Mwezi jana kanijia na tatizo la kindoa.Kila anapopata hamu ya tendo,uume husimama kwa shida,.unaposimama husinyaa wakati akiwa kwenye romance.Nimemshauri aende hospitali.Daktari kamwambia ni mawazo tu apunguze.Amfefanya hivo lakini tatizo linaendelea.Sasa anahofia usalama wa ndoa yake.Ana hofu na matumizi ya madawa kwa sababu mengine yaweza kummalizia kabisa. Hebu mjuzi atusaidie.
 
wewe mwenyewe una miaka mingapi na uko kwenye ndoa au la?nafikiri uncle wako angetakiwa kuwafuata watu wenye hekima zaidi kuliko wewe..
 
wewe mwenyewe una miaka mingapi na uko kwenye ndoa au la?nafikiri uncle wako angetakiwa kuwafuata watu wenye hekima zaidi kuliko wewe..

Inamaana Yeye Hana Hekima?
Umenichosha Kweli Mkuu!
 
hili tatizo mara nyingi ni psychological kuliko physical kupunguza msongo wa mawazo ndio dawa kubwa . . .ila pia kama anatumia pombe hasa bia laini kama castle lite aache kwa muda, ale vyakula kama samaki, asali,mayai, supu ya kuku na njegere, karanga na peanut butter na afanye mazoez kama kuruka kamba n.k.
 
Mkuu ungefunguka zaidi kidogo unavyomfahamu Anko,

vipi ana blood pressure, kama ndio low/high? au ana kisukari? vipi kuhusu afya yake, ni menene sana au kawaida? vipi kuhusu kazi anayofanya, humchosha sana kimwili na kiakili au vipi? anamudu mkate wake wa siku? ana ugomvi ambao haujasuluhishwa na mkewe? ana madeni yanayomsumbua sana etc etc

Mkuu ukitupa hizo dots kidogo tunaweza kupata njia au kushauri namna ya kupata njia kwa ufasaha zaidi.
 
Mwambie apunguze mawazo ni kweli unapokuwa kwenye stres za kifamilia sex performance. Na kama ana chuki na mke wake aache atafute upendo na kumpenda mkwewe. pia afanye mazoezi ya kutosha na kula vyakula vyenye vitamin e vinavyoongeza sperms production kamj vile karanga, korosho, atumie pia asali kwa wingi na vitunguu suaumu
 
Hana presure wala kisukari,ana umbile la kawaida kama kilo 80. Ni mwnwsheria haimchoshi sana,ana madeni anayolipa kwa shida,na mkate wake wa siku ana mudu ingawa haulingani na hadhi yake..Mkewe hushutumu sana kuwa ana mahawala,ingawa yeye anasema hana.cha ziada amewahi kufanya musterbation sana kabla hajaoa na pia akiwa chuoni miaka 15 ilopita.
 
ana moja kati ya haya ana majini mahaba au amelogwa tego linalopunguza nguvu za kiume.
 


Yani unamjua anko wako utadhani ni wewe mwenyewe. Duh!
 
You are impotent!!pole sana mkuu!usenge unakunyemelea tafadhari mwone daktari haraka!
 

musterbation ndo mchawi wake!!! Atumie vyakula vya asili,kwa sana,!! Na asiwe na mawazo kwa asilimia 70%,afanye mazoezi rahic,kama Pushup mara 15,kukimbia mazingra ya hapo nyumbani,kuruka kichurachura! Hata chumbani kwake!! Miezi 3,tu afanye haya!
 
Amewahi Au Anapiga Punyeto?
Mbona mimi napiga punyeto tangu miaka 17 iliyopita,lakini bado nipo fiti vibaya sana!kama nilivyosema awali huyu jamaa atakuwa ananyemelewa na kausenge na nivema akamwone daktari haraka!!
 

Pole sana mkuu, Niliuliza ili wadau wenye solution waweze kushauri specifically.

Cha kwanza ambacho ningem(ku)shauri ni mazoezi, tendo zima kwa mwanaume linachagizwa sana na flow nzuri ya damu mwilini, So mazoezi husaidia sana katika hili. na mazoezi kujenga (endurance ya misuli/mwili) so kama tendo lilikua linamchukua dakika 2 inaweza kwenda nusu saa au zaidi bila yeye pia kuchoka kulingana na mazoezi anayofanya . (maana wasio na mazoezi hata ya kutembea hufika haraka sana, huchoka haraka na wengine huishia kupepesuka maana hawana stamina ya kutosha) mazoezi pia huondoa misongo ya mawazo mkuu.

Pili anapaswa kuushinda woga alio nao ndani yake juu ya tendo zima, kwa kuwa na fikra chanya kuwa anaweza sana na alenge kuchelewa kufika kileleni katika mawazo yake, pia imagination inahusika sana- kujenga picha ya tukio zima kichwani. (hii ni kama mbegu, ukipanda hata kwenye jiwe itaota, kwa hiyo akijitahidi itakuwa kama anavyodhamiria moyoni)

Tatu, ajitahidi kuconcentrate na tendo. na ikiwezekana awe anabadilisha mazingira ya tukio kadri itakavyowezekana.

Nne, masterbation huchangia sana uume kukosa nguvu na kwa kuwa mfanyaji mara nyingi hutumia nguvu kuliko inavyotakikana, so mazoezi hapa ni njia sahihi zaidi na kujenga hisia chanya juu ya uwezo wake.

Pia ajitahidi sana kula vyakula vyenye proteins kama nyama (michemsho ni mizuri zaidi kuliko rosti), samaki, karanga, maharage na jamii ya kunde, mayai n.k kulingana na wataalamu watavyoendelea kushauri.

unfortunately mimi ni mtaalamu wa biashara, so wataalamu wa sayansi ya mwili watashauri vizuri zaidi.
 
Mbona mimi napiga punyeto tangu miaka 17 iliyopita,lakini bado nipo fiti vibaya sana!kama nilivyosema awali huyu jamaa atakuwa ananyemelewa na kausenge na nivema akamwone daktari haraka!!

Dah!
Mbona Miaka Ming Sana?
Mwenzio Nina Miaka 9 Ila Naogopa Kushiriki Tendo(nasikia Unamwaga Haraka) Hivyo Nimeamua Kuzama Kinyetonyeto Zaidi!
 
Dah!
Mbona Miaka Ming Sana?
Mwenzio Nina Miaka 9 Ila Naogopa Kushiriki Tendo(nasikia Unamwaga Haraka) Hivyo Nimeamua Kuzama Kinyetonyeto Zaidi!
Wazungu wanasema" too much of any thing is harmful"kwani kwa siku unagonga mara ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…