Napata hisia tayari simu imeshapigwa kwa Waheshimiwa maJaji

Napata hisia tayari simu imeshapigwa kwa Waheshimiwa maJaji

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi.

Rostam Aziz majuzi alitufungua kwamba Mahakimu,Majaji wetu unaweza kuwapigia simu wakatoa uhamuzi usio wa haki.

Ni kweli Rostam aliomba msamahaa lakini pamoja na kuomba msamaha hakuondoi hali halisi kwamba mahakama zetu zimekuwa zikitoa uamuzi wa hovyo hovyo.

Wakati tukisubiri hukumu ya kesi ya uporaji wa Bandari zetu naanza kupata hisia mbaya mbaya hasa tukizingatia rushwa iliyotumika kuingia mkataba mbovu.

Waarabu wana fedha watashindwa nini kuwahonga majaji watatu !.

Naomba kuwasilisha.

Ngongo kwasasa Dubai - Makao Makuu DP World.
 
Ni kweli mahakama zetu kwa miaka ya karibuni zinafanya kazi kama idara za ikulu/serikali, na hivyo linapokuja suala lolote dhidi ya maamuzi ya Serikali au Rais, basi mahakama ndiyo huthibitisha kuwa Tanzania haina mahakama bali kitengo tu cha Serikali kinachoshughulikia migogoro.

Mahakama ya Tanzania, ambayo kiuficho ni idara ya Serikali, kutenda kinyume cha matakwa ya Serikali, basi huyo jaji ajitoe hasa, na kusema liwalo na liwe.
 
Heshima sana wanajamvi.

Rostam Aziz majuzi alitufungua kwamba Mahakimu,Majaji wetu unaweza kuwapigia simu wakatoa uhamuzi usio wa haki.

Ni kweli Rostam aliomba msamahaa lakini pamoja na kuomba msamaha hakuondoi hali halisi kwamba mahakama zetu zimekuwa zikitoa uamuzi wa hovyo hovyo.

Wakati tukisubiri hukumu ya kesi ya uporaji wa Bandari zetu naanza kupata hisia mbaya mbaya hasa tukizingatia rushwa iliyotumika kuingia mkataba mbovu.

Waarabu wana fedha watashindwa nini kuwahonga majaji watatu !.

Naomba kuwasilisha.

Ngongo kwasasa Dubai - Makao Makuu DP World.
Wameshapewa maelekezo kama kawaida yao watatupa hukumu...mahakama zetu toka enzi ya jk,jpm,samia waliwapa mahakimu ujaji wenye elimu ndogo,wao wanaishia kwa kuhukumu kesi bila kuchanganua sheria,
Mahakimu wenye akili zao zinazidiwa na Deo kisandu
 
Heshima sana wanajamvi.

Rostam Aziz majuzi alitufungua kwamba Mahakimu,Majaji wetu unaweza kuwapigia simu wakatoa uhamuzi usio wa haki.

Ni kweli Rostam aliomba msamahaa lakini pamoja na kuomba msamaha hakuondoi hali halisi kwamba mahakama zetu zimekuwa zikitoa uamuzi wa hovyo hovyo.

Wakati tukisubiri hukumu ya kesi ya uporaji wa Bandari zetu naanza kupata hisia mbaya mbaya hasa tukizingatia rushwa iliyotumika kuingia mkataba mbovu.

Waarabu wana fedha watashindwa nini kuwahonga majaji watatu !.

Naomba kuwasilisha.

Ngongo kwasasa Dubai - Makao Makuu DP World.
Kitambo tu mbona kinachoendelea hapo ni karata tatu tu
 
Wameshapewa maelekezo kama kawaida yao watatupa hukumu...mahakama zetu toka enzi ya jk,jpm,samia waliwapa mahakimu ujaji wenye elimu ndogo,wao wanaishia kwa kuhukumu kesi bila kuchanganua sheria,
Mahakimu wenye akili zao zinazidiwa na Deo kisandu
Kuna bwege alipewa ujaji kwa kuandika hukumu kwa lugha ya Kiswahili enzi ya lile zwazwa
 
Heshima sana wanajamvi.

Rostam Aziz majuzi alitufungua kwamba Mahakimu,Majaji wetu unaweza kuwapigia simu wakatoa uhamuzi usio wa haki.

Ni kweli Rostam aliomba msamahaa lakini pamoja na kuomba msamaha hakuondoi hali halisi kwamba mahakama zetu zimekuwa zikitoa uamuzi wa hovyo hovyo.

Wakati tukisubiri hukumu ya kesi ya uporaji wa Bandari zetu naanza kupata hisia mbaya mbaya hasa tukizingatia rushwa iliyotumika kuingia mkataba mbovu.

Waarabu wana fedha watashindwa nini kuwahonga majaji watatu !.

Naomba kuwasilisha.

Ngongo kwasasa Dubai - Makao Makuu DP World.
Kwa hili hapana.. Majaji watasimamia haki kwakuwa hata wakizingua kuna rufaa wao sio finali
Jr[emoji769] Kwasasa Msata Kilingeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aibu kwa tulia akson spika la mchongo na sura mbovu kama DPWeld. Mahakama mpaka sasa imebaini kuwa ule ni mkataba wakati Tulia alisema ni makubaliano ili kudanganya watanganyika wenzake. Kwasasa kila anayetetea amekubali kuwa ni mkataba. Mbwa koko hao
 
Heshima sana wanajamvi.

Rostam Aziz majuzi alitufungua kwamba Mahakimu,Majaji wetu unaweza kuwapigia simu wakatoa uhamuzi usio wa haki.

Ni kweli Rostam aliomba msamahaa lakini pamoja na kuomba msamaha hakuondoi hali halisi kwamba mahakama zetu zimekuwa zikitoa uamuzi wa hovyo hovyo.

Wakati tukisubiri hukumu ya kesi ya uporaji wa Bandari zetu naanza kupata hisia mbaya mbaya hasa tukizingatia rushwa iliyotumika kuingia mkataba mbovu.

Waarabu wana fedha watashindwa nini kuwahonga majaji watatu !.

Naomba kuwasilisha.

Ngongo kwasasa Dubai - Makao Makuu DP World.
Uakatisha tamaa sasa
 
Aibu kwa tulia akson spika la mchongo na sura mbovu kama DPWeld. Mahakama mpaka sasa imebaini kuwa ule ni mkataba wakati Tulia alisema ni makubaliano ili kudanganya watanganyika wenzake. Kwasasa kila anayetetea amekubali kuwa ni mkataba. Mbwa koko hao
Utani kama ukweli au ukweli kama utani?
 
Back
Top Bottom