Wameshapewa maelekezo kama kawaida yao watatupa hukumu...mahakama zetu toka enzi ya jk,jpm,samia waliwapa mahakimu ujaji wenye elimu ndogo,wao wanaishia kwa kuhukumu kesi bila kuchanganua sheria,Heshima sana wanajamvi.
Rostam Aziz majuzi alitufungua kwamba Mahakimu,Majaji wetu unaweza kuwapigia simu wakatoa uhamuzi usio wa haki.
Ni kweli Rostam aliomba msamahaa lakini pamoja na kuomba msamaha hakuondoi hali halisi kwamba mahakama zetu zimekuwa zikitoa uamuzi wa hovyo hovyo.
Wakati tukisubiri hukumu ya kesi ya uporaji wa Bandari zetu naanza kupata hisia mbaya mbaya hasa tukizingatia rushwa iliyotumika kuingia mkataba mbovu.
Waarabu wana fedha watashindwa nini kuwahonga majaji watatu !.
Naomba kuwasilisha.
Ngongo kwasasa Dubai - Makao Makuu DP World.
Kitambo tu mbona kinachoendelea hapo ni karata tatu tuHeshima sana wanajamvi.
Rostam Aziz majuzi alitufungua kwamba Mahakimu,Majaji wetu unaweza kuwapigia simu wakatoa uhamuzi usio wa haki.
Ni kweli Rostam aliomba msamahaa lakini pamoja na kuomba msamaha hakuondoi hali halisi kwamba mahakama zetu zimekuwa zikitoa uamuzi wa hovyo hovyo.
Wakati tukisubiri hukumu ya kesi ya uporaji wa Bandari zetu naanza kupata hisia mbaya mbaya hasa tukizingatia rushwa iliyotumika kuingia mkataba mbovu.
Waarabu wana fedha watashindwa nini kuwahonga majaji watatu !.
Naomba kuwasilisha.
Ngongo kwasasa Dubai - Makao Makuu DP World.
Kuna bwege alipewa ujaji kwa kuandika hukumu kwa lugha ya Kiswahili enzi ya lile zwazwaWameshapewa maelekezo kama kawaida yao watatupa hukumu...mahakama zetu toka enzi ya jk,jpm,samia waliwapa mahakimu ujaji wenye elimu ndogo,wao wanaishia kwa kuhukumu kesi bila kuchanganua sheria,
Mahakimu wenye akili zao zinazidiwa na Deo kisandu
Kwa hili hapana.. Majaji watasimamia haki kwakuwa hata wakizingua kuna rufaa wao sio finaliHeshima sana wanajamvi.
Rostam Aziz majuzi alitufungua kwamba Mahakimu,Majaji wetu unaweza kuwapigia simu wakatoa uhamuzi usio wa haki.
Ni kweli Rostam aliomba msamahaa lakini pamoja na kuomba msamaha hakuondoi hali halisi kwamba mahakama zetu zimekuwa zikitoa uamuzi wa hovyo hovyo.
Wakati tukisubiri hukumu ya kesi ya uporaji wa Bandari zetu naanza kupata hisia mbaya mbaya hasa tukizingatia rushwa iliyotumika kuingia mkataba mbovu.
Waarabu wana fedha watashindwa nini kuwahonga majaji watatu !.
Naomba kuwasilisha.
Ngongo kwasasa Dubai - Makao Makuu DP World.
Ilikuwa ni Mchongo wa Bwana Yule.Kuna bwege alipewa ujaji kwa kuandika hukumu kwa lugha ya Kiswahili enzi ya lile zwazwa
Uakatisha tamaa sasaHeshima sana wanajamvi.
Rostam Aziz majuzi alitufungua kwamba Mahakimu,Majaji wetu unaweza kuwapigia simu wakatoa uhamuzi usio wa haki.
Ni kweli Rostam aliomba msamahaa lakini pamoja na kuomba msamaha hakuondoi hali halisi kwamba mahakama zetu zimekuwa zikitoa uamuzi wa hovyo hovyo.
Wakati tukisubiri hukumu ya kesi ya uporaji wa Bandari zetu naanza kupata hisia mbaya mbaya hasa tukizingatia rushwa iliyotumika kuingia mkataba mbovu.
Waarabu wana fedha watashindwa nini kuwahonga majaji watatu !.
Naomba kuwasilisha.
Ngongo kwasasa Dubai - Makao Makuu DP World.
Lile zwazwa (jiwe) lilikuwa na ujinga uliopitiliza uliochanganyikana na laana.Kuna bwege alipewa ujaji kwa kuandika hukumu kwa lugha ya Kiswahili enzi ya lile zwazwa
AiseeKumsia yule Wakili huenda ni zuga tu, ila teyari wameshafanya maamuzi.
Utani kama ukweli au ukweli kama utani?Aibu kwa tulia akson spika la mchongo na sura mbovu kama DPWeld. Mahakama mpaka sasa imebaini kuwa ule ni mkataba wakati Tulia alisema ni makubaliano ili kudanganya watanganyika wenzake. Kwasasa kila anayetetea amekubali kuwa ni mkataba. Mbwa koko hao