Napata maumivu makali....!

Miss Mbunda

Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
36
Reaction score
14
Habari zenu wanajamii forum!Mimi ni msichana wa miaka 25 na nna mpenzi wangu ambaye tunapendana tu,tatizo ni kwamba ninapokutana naye kimwili raundi ya kwanza huwa naenjoy ila raund zinazofuata huwa sijisikii tena na matokeo yake huwa nasikia maumivu makal sehemu kiasi kwamba huwa sioni raha ya mapenzi bali karaha tupu!na mpenz wangu huwa anajitaidi sana kuniandaa lakini naona haisaidii!Je wanajamii hili ni tatizo la kwenda hospitali?naomben ushauri wenu ndugu zangu sababu nimekuwa nikipata tabu hii kwa mda mrefu sasa.
 
ngoja waje wajuzi wa mambo hayo,wadada fungukeni hapo
 
ngoja waje wajuzi wa mambo hayo,wadada fungukeni hapo

sio wadada wanaohitajika bhana hata ww waweza mshauri,ila mtazamo wangu ingefaa wataalamu waje hapa kulizungumzia kwa kina,hebu Mzizimkavu chungulia huku ulitanwa.
 
Inaonyesha jamaa yako atakuwa na timu ilioifunga leo simba; ndo maana wapata maumivu!
 

kwa nini umeamua kuzini?
 
Acha umalaya subili ndoa,ilo ni tatizo la mucus insufficiency.ule ute utokao ukeni baada ya kupandwa na hamu, nenda hosp au upate thelapy tretment
 
Ni tatizo ambalo unahitaji kwenda kuwaona Wataalam wakusaidie kabla hali haijawa mbaya zaidi na si ajabu kushindwa hata raundi ya kwanza kutokana na maumivu makali sana. Kila la heri.
 
Ni dalili za ugonjwa.nenda hosp watakusaidia zaidi
 
bibie.@Miss Mbunda Pole sana kwa hayo yanayo kukuta hebu ukifanya Raundi ya pili jaribu kabla ya kufanya tendo la sex jipake Asali kwenye sehemu zako za siri kisha fanya hayo mapenzi yenu kisha uje hapa utupe feedback usikose kwenda kwa Daktari kumueleza hayo matatizo yako.
 
Dawa ya asili ni pamoja na cuchanganya asali na mdalasini tumia vijiko viwili mara tatu kwa siku. Utaona matokeo mazuri. Pia waweza kuwaona hawa jamaa wa Alt clinic hapo siza kwa remi wana dawa nzuri tu. Walimtibu hata mke wangu mwaka 200/07 naanaendelea vizuri.
 
Acha umalaya subili ndoa, usiwe mnafiki kiasi hicho. Ww ni msafi kiasi gan mpaka umuite mwenzio malaya? Kwani ww ulianza kufanya mapenzi ulipoingia kwenye ndoa(ikiwa upo kwenye ndoa) au unasubiri ndoa ndo uanze? Acha udhalimu
 
Unaweza kukumbuka Ulikutana na mwanaume wako wa kwanza ukiwa na umri gan na yeye umri gan? Je unaweza kuelezea maumivu unayasikia kwa upande gan yana ni kwenye uke wote,pemben kama unatoneshwa kidonda hivi,mbele kama una chomwa hivi au? Wakat ukiwa unajamiiana ni mkao gan uki kaa unajisikia afadhali kidogo?je ulisha wah kutumia madawa yoyote ya uzaz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…