N Nipishe Member Joined Jan 18, 2012 Posts 5 Reaction score 0 Jan 19, 2012 #1 napata maumivu nyuma ya shingo kwa chini mpaka maeneo ya mgongo tatizo ni nini msaada jamani wataalamu
napata maumivu nyuma ya shingo kwa chini mpaka maeneo ya mgongo tatizo ni nini msaada jamani wataalamu
N Nipishe Member Joined Jan 18, 2012 Posts 5 Reaction score 0 Jan 19, 2012 Thread starter #2 napata maumivu nyuma ya shingo kwa chini mpaka maeneo ya mgongo tatizo ni nini msaada jamani wataalamu
napata maumivu nyuma ya shingo kwa chini mpaka maeneo ya mgongo tatizo ni nini msaada jamani wataalamu
LEGE JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 5,122 Reaction score 9,209 Jan 19, 2012 #3 Tatizo hilo limeanza lini?? Vip kuna mazoezi yoyote au kazi yoyote uliyofanya karibuni?? Au godoro /mto unao lalia upo kwenye hali gan??
Tatizo hilo limeanza lini?? Vip kuna mazoezi yoyote au kazi yoyote uliyofanya karibuni?? Au godoro /mto unao lalia upo kwenye hali gan??
Jeji JF-Expert Member Joined Jun 28, 2011 Posts 1,973 Reaction score 372 Jan 19, 2012 #4 nenda hosp kachek, wkt mwingine BP ikipanda huwa unaweza kuhisi maumivu upande wa kisogoni kuelekea shingoni.
nenda hosp kachek, wkt mwingine BP ikipanda huwa unaweza kuhisi maumivu upande wa kisogoni kuelekea shingoni.
P Petu Hapa JF-Expert Member Joined Jan 2, 2008 Posts 714 Reaction score 57 Jan 19, 2012 #5 Pole! Hapo kuna mgongo wa juu na chini. Hayo maumivu yanashuka mpaka mgongo wa chini? Kama ndio basi nenda hospital!
Pole! Hapo kuna mgongo wa juu na chini. Hayo maumivu yanashuka mpaka mgongo wa chini? Kama ndio basi nenda hospital!
N Nipishe Member Joined Jan 18, 2012 Posts 5 Reaction score 0 Jan 19, 2012 Thread starter #6 ndio yanashuka mpaka chini asante kwa ushauri kaka
N Nipishe Member Joined Jan 18, 2012 Posts 5 Reaction score 0 Jan 19, 2012 Thread starter #7 limenza leo na godoro liko poa hata mito pia ni migumu so sijaelewa hapo tatizo ni nini?
doctorz JF-Expert Member Joined Aug 10, 2010 Posts 916 Reaction score 228 Jan 19, 2012 #8 Labda una cyber stress. Jaribu ktumia BETAPYEN.