Napata maumivu ya kifua upande wa kushoto shingo pamoja na mikono yote miwili

Napata maumivu ya kifua upande wa kushoto shingo pamoja na mikono yote miwili

JHB

Member
Joined
Jun 6, 2018
Posts
12
Reaction score
2
Wakuu Habari za mida.

Mimi Nina umri wa miaka 31 nimekua nikiambulia na tatizo la maumivu ya kifua upande wa kushoto. Maumivu hayo pia nayapata kwenye mkono wa kushoto wakati mwingine mkono wa kulia. Inafikia muda shingo inakua inauma muda mwingine inakua kama inakakamaa dizain kama nimekabwa na kitu.

Wakati wa kuamka asubuh nahisi tumboni kama panavuruga sana.. Nimejaribu kwenda hospital ya rufaa ya Bugando Mwanza nikapata vipimo vya moyo.. Daktari bingwa ananiambia haoni tatizo lolote kwenye moyo.. Akaenda mbali ananiambia itakua nasumbuliwa na anxiety disorder. Wakuu napata maumivu sana inafikia hatua nikiongea sana shingo inauma sana mpaka nakua kama naishi wa nguvu nataka kuondoka.

Daktar aliniambia nitumie dawa za ant acid itakua nina acid nyingi tiumbon.. Wakati mwingine kooni nahisi kama kuna kitu kimekwama.. Nateseka nimerudi hospital zaid ya mara kumi. Naombeni ushauri nifanyeje.. Kila nikipi a presha iko normal. Mwili unakua unaishiwa nguvu kabisa..

Asante sana
 
Mkuu pole sana ikiwa umejaribu dawa za Hospitali hujapona maradhi yako . Itabidi ujaribu dawa zetu za asili huenda una mambo ya kiswahili (uchawi) mwilini mwako ndio unao kusumbuwa ukihitaji tiba toka kwangu nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia upate kupona maradhi yako uguwa pole.
 
Rudi hospital fanya kipimo cha cortisol. Inapimwa asububi kuanzia saa 2 mpaka3:30. Najioni kuanzia saa 10:30 mpaka 11:30.Hiki kipimo kinaangalia ufanyakazi wa Adrenal gland katika kuzalisha hiyo Cirtisol.

Ni muhimu sana mwilini na ukiikosa ni tatizo sana ikiwemo dalili ulizosema na nyinginezo nyingi. Pia pima thyroid function zako TSH na T3 na T4. Ukikuta uko sawa kwenye Cirtisol na thyroid function basi tafuta Njia mbadala ya kujitibu.
 
Nenda hospitali ulafanye vipimo viwili vya moyo
1.Echo
2.Ecg

Kuna shida kwenye moyo na hasa inaonekana moyo haupati oxygen ya kutosha, mara nyingi hii hutokana na moyo kutanuka cardiomypath.

Na ukichunguza sana hali hiyo huambatana na kupiga miayo mara nyingi mfululizo na pia kupata shida ya kukaa muda mrefu hasa kwenye safari ndefu.

Nenda kafanye hivi vipimo ndio vina majibu kamili ya tatizo lako.

Ila unatatizo kwenye moyo hii nina hakika nayo kwa 99%
 
Wakuu Habari za mida.

Mimi Nina umri wa miaka 31 nimekua nikiambulia na tatizo la maumivu ya kifua upande wa kushoto. Maumivu hayo pia nayapata kwenye mkono wa kushoto wakati mwingine mkono wa kulia. Inafikia muda shingo inakua inauma muda mwingine inakua kama inakakamaa dizain kama nimekabwa na kitu.

Wakati wa kuamka asubuh nahisi tumboni kama panavuruga sana.. Nimejaribu kwenda hospital ya rufaa ya Bugando Mwanza nikapata vipimo vya moyo.. Daktari bingwa ananiambia haoni tatizo lolote kwenye moyo.. Akaenda mbali ananiambia itakua nasumbuliwa na anxiety disorder. Wakuu napata maumivu sana inafikia hatua nikiongea sana shingo inauma sana mpaka nakua kama naishi wa nguvu nataka kuondoka.

Daktar aliniambia nitumie dawa za ant acid itakua nina acid nyingi tiumbon.. Wakati mwingine kooni nahisi kama kuna kitu kimekwama.. Nateseka nimerudi hospital zaid ya mara kumi. Naombeni ushauri nifanyeje.. Kila nikipi a presha iko normal. Mwili unakua unaishiwa nguvu kabisa..

Asante sana
Mkuu nenda kapime presha tu halafu Nipe majibu.Kama huto jali niambie UZITO na urefu wako kunirahisishia kukushauri kuondokana na tatizo hilo
 
Mkuu nenda kapime presha tu halafu Nipe majibu.Kama huto jali niambie UZITO na urefu wako kunirahisishia kukushauri kuondokana na tatizo hilo
Mkuu nimepima presha pressure zaid ya mara 9....wakati wote ipo normal.. Yan uzito wangu ni kg 81
 
Nenda hospitali ulafanye vipimo viwili vya moyo
1.Echo
2.Ecg

Kuna shida kwenye moyo na hasa inaonekana moyo haupati oxygen ya kutosha, mara nyingi hii hutokana na moyo kutanuka cardiomypath.

Na ukichunguza sana hali hiyo huambatana na kupiga miayo mara nyingi mfululizo na pia kupata shida ya kukaa muda mrefu hasa kwenye safari ndefu.

Nenda kafanye hivi vipimo ndio vina majibu kamili ya tatizo lako.

Ila unatatizo kwenye moyo hii nina hakika nayo kwa 99%
Asante mkuu kwa ushauri.. Vipimo vyote nimepima..
Echo
Ecg
Pamoja na vipimo vingi vya damu..
Protonin level
Cholerstrol
Kiwango cha oxygen kwenye dam
Na vingne vingi tu
Pressure pia ipo normal always nikipima
Mapigo ya moyo pia yako kawaida
 
Rudi hospital fanya kipimo cha cortisol. Inapimwa asububi kuanzia saa 2 mpaka3:30. Najioni kuanzia saa 10:30 mpaka 11:30.Hiki kipimo kinaangalia ufanyakazi wa Adrenal gland katika kuzalisha hiyo Cirtisol.

Ni muhimu sana mwilini na ukiikosa ni tatizo sana ikiwemo dalili ulizosema na nyinginezo nyingi. Pia pima thyroid function zako TSH na T3 na T4. Ukikuta uko sawa kwenye Cirtisol na thyroid function basi tafuta Njia mbadala ya kujitibu.
Sawa mkuu ntaufanya kazi ushauri wako.. Asante sana
 
Wakuu Habari za mida.

Mimi Nina umri wa miaka 31 nimekua nikiambulia na tatizo la maumivu ya kifua upande wa kushoto. Maumivu hayo pia nayapata kwenye mkono wa kushoto wakati mwingine mkono wa kulia. Inafikia muda shingo inakua inauma muda mwingine inakua kama inakakamaa dizain kama nimekabwa na kitu.

Wakati wa kuamka asubuh nahisi tumboni kama panavuruga sana.. Nimejaribu kwenda hospital ya rufaa ya Bugando Mwanza nikapata vipimo vya moyo.. Daktari bingwa ananiambia haoni tatizo lolote kwenye moyo.. Akaenda mbali ananiambia itakua nasumbuliwa na anxiety disorder. Wakuu napata maumivu sana inafikia hatua nikiongea sana shingo inauma sana mpaka nakua kama naishi wa nguvu nataka kuondoka.

Daktar aliniambia nitumie dawa za ant acid itakua nina acid nyingi tiumbon.. Wakati mwingine kooni nahisi kama kuna kitu kimekwama.. Nateseka nimerudi hospital zaid ya mara kumi. Naombeni ushauri nifanyeje.. Kila nikipi a presha iko normal. Mwili unakua unaishiwa nguvu kabisa..

Asante sana
Mkuu nenda kapime presha tu halafu Nipe majibu.Kama huto jali niambie UZITO na urefu wako kunirahisishia kukushauri kuondoka a na tatizo hilo
Mkuu nimepima presha pressure zaid ya mara 9....wakati wote ipo normal.. Yan uzito wangu ni kg 81
Hiyo normal ilikuwa ngapi mkuu.
UZITO wakg 81 si mdogo
 
Nenda hospitali ulafanye vipimo viwili vya moyo
1.Echo
2.Ecg

Kuna shida kwenye moyo na hasa inaonekana moyo haupati oxygen ya kutosha, mara nyingi hii hutokana na moyo kutanuka cardiomypath.

Na ukichunguza sana hali hiyo huambatana na kupiga miayo mara nyingi mfululizo na pia kupata shida ya kukaa muda mrefu hasa kwenye safari ndefu.

Nenda kafanye hivi vipimo ndio vina majibu kamili ya tatizo lako.

Ila unatatizo kwenye moyo hii nina hakika nayo kwa 99%
Inawezekana ikawa ni Angina pectoris au peptic/gastric ulcers
 
daah pole mkuu dalili ulizoelezea kama zangu tofauti kidogo tu.
Nilikutwa na acid nyingi tumboni najaribu kutumia dawa za antacid lakini wapi
 
daah pole mkuu dalili ulizoelezea kama zangu tofauti kidogo tu.
Nilikutwa na acid nyingi tumboni najaribu kutumia dawa za antacid lakini wapi
Mkuu upo mkoa gani nijue Kama utapata vifaa fulani ambavyo ukitumia utaondoa hiyo Hali kabisaa na hairudi tena
 
Hiyo mbona GERD kabisa na bado hujapumua kwa tabu na kitambi kujaa soon tu

Acid upo ya kutosha kwa tumbo .
 
Mkuu nenda kapime presha tu halafu Nipe majibu.Kama huto jali niambie UZITO na urefu wako kunirahisishia kukushauri kuondoka a na tatizo hilo
Hiyo normal ilikuwa ngapi mkuu.
UZITO wakg 81 si mdogo
Mara zote hua inacheza kwenye 112/67, 2 117/71
 
daah pole mkuu dalili ulizoelezea kama zangu tofauti kidogo tu.
Nilikutwa na acid nyingi tumboni najaribu kutumia dawa za antacid lakini wapi
Asante mkuu yan nateseka sana.. Nimetumia sana dawa za ant acid lakin bado tu.... Huu mwaka wa pili sasa nahangaika hata ufanisi kazin umepungua sana
 
Hiyo mbona GERD kabisa na bado hujapumua kwa tabu na kitambi kujaa soon tu

Acid upo ya kutosha kwa tumbo .
Asante mkuu dawa gani unashauri nitumie maana za hospital ant acid zote nishatumia
 
Back
Top Bottom