Wakuu Habari za mida.
Mimi Nina umri wa miaka 31 nimekua nikiambulia na tatizo la maumivu ya kifua upande wa kushoto. Maumivu hayo pia nayapata kwenye mkono wa kushoto wakati mwingine mkono wa kulia. Inafikia muda shingo inakua inauma muda mwingine inakua kama inakakamaa dizain kama nimekabwa na kitu.
Wakati wa kuamka asubuh nahisi tumboni kama panavuruga sana.. Nimejaribu kwenda hospital ya rufaa ya Bugando Mwanza nikapata vipimo vya moyo.. Daktari bingwa ananiambia haoni tatizo lolote kwenye moyo.. Akaenda mbali ananiambia itakua nasumbuliwa na anxiety disorder. Wakuu napata maumivu sana inafikia hatua nikiongea sana shingo inauma sana mpaka nakua kama naishi wa nguvu nataka kuondoka.
Daktar aliniambia nitumie dawa za ant acid itakua nina acid nyingi tiumbon.. Wakati mwingine kooni nahisi kama kuna kitu kimekwama.. Nateseka nimerudi hospital zaid ya mara kumi. Naombeni ushauri nifanyeje.. Kila nikipi a presha iko normal. Mwili unakua unaishiwa nguvu kabisa..
Asante sana
Mimi Nina umri wa miaka 31 nimekua nikiambulia na tatizo la maumivu ya kifua upande wa kushoto. Maumivu hayo pia nayapata kwenye mkono wa kushoto wakati mwingine mkono wa kulia. Inafikia muda shingo inakua inauma muda mwingine inakua kama inakakamaa dizain kama nimekabwa na kitu.
Wakati wa kuamka asubuh nahisi tumboni kama panavuruga sana.. Nimejaribu kwenda hospital ya rufaa ya Bugando Mwanza nikapata vipimo vya moyo.. Daktari bingwa ananiambia haoni tatizo lolote kwenye moyo.. Akaenda mbali ananiambia itakua nasumbuliwa na anxiety disorder. Wakuu napata maumivu sana inafikia hatua nikiongea sana shingo inauma sana mpaka nakua kama naishi wa nguvu nataka kuondoka.
Daktar aliniambia nitumie dawa za ant acid itakua nina acid nyingi tiumbon.. Wakati mwingine kooni nahisi kama kuna kitu kimekwama.. Nateseka nimerudi hospital zaid ya mara kumi. Naombeni ushauri nifanyeje.. Kila nikipi a presha iko normal. Mwili unakua unaishiwa nguvu kabisa..
Asante sana