tashyno abas
Member
- Jul 8, 2015
- 12
- 8
Jamani nimeenda sana hospital, nasumbuliwa sana na koo, hasa nikiongea na hushika moto kooni.
Nashukuru mungu wakati wa kula nakula vizuri tu sisikii maumivu.
Naombeni ushauri wenu wakuu au mwenye kujua doctor mzr wa koo! Aniambie
Nashukuru mungu wakati wa kula nakula vizuri tu sisikii maumivu.
Naombeni ushauri wenu wakuu au mwenye kujua doctor mzr wa koo! Aniambie