napata wapi baiskeli za umeme

napata wapi baiskeli za umeme

marandu2010

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2010
Posts
1,201
Reaction score
446
habari wakuu,naomba mnisaidie ni mahali gani kwa dsm wanauza e bikes,na brand gani nzuri,imara na yenye spear zinazopatikana kwa wepesi,pia nisaidieni mawazo mengine kuhusu hizi ebikes kwa wazoefu..
asanteni ninawakilisha wakuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari wakuu,naomba mnisaidie ni mahali gani kwa dsm wanauza e bikes,na brand gani nzuri,imara na yenye spear zinazopatikana kwa wepesi,pia nisaidieni mawazo mengine kuhusu hizi ebikes kwa wazoefu..
asanteni ninawakilisha wakuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
zipo kariakoo, kuna frem ya mhindi pale karibu na bank ya DTB anauza ebike (ipo kati ya kituo cha faya na msimbazi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
poa kaka,kwa hiyo sifiki ile sheli ya kona ya faya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafika, hiyo frem ipo kati ya kituo cha faya na kituo cha msimbazi. Unaweza ukashuka faya ukawa unatembea kama unaelekea msimbazi au ukachukia msimbazi ukawa unatembea kama unaelekea faya. Ukiikaribia bank ya DTB utaziona zipo nyingi kwa nje ya frem

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari wakuu,naomba mnisaidie ni mahali gani kwa dsm wanauza e bikes,na brand gani nzuri,imara na yenye spear zinazopatikana kwa wepesi,pia nisaidieni mawazo mengine kuhusu hizi ebikes kwa wazoefu..
asanteni ninawakilisha wakuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulifanikiwa kupata iyo baiskeli ya umeme? naomba mrejesho tafadhali kama hautajali
 
Vip unaweza kuwa unajua bei yake?
kuna zenye betri tatu,40km per charge,690k na za betri 4,70km per charge 850k
Screenshot_2019-06-09-18-55-19.jpg
 
Back
Top Bottom