marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
zipo kariakoo, kuna frem ya mhindi pale karibu na bank ya DTB anauza ebike (ipo kati ya kituo cha faya na msimbazi)habari wakuu,naomba mnisaidie ni mahali gani kwa dsm wanauza e bikes,na brand gani nzuri,imara na yenye spear zinazopatikana kwa wepesi,pia nisaidieni mawazo mengine kuhusu hizi ebikes kwa wazoefu..
asanteni ninawakilisha wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
asante,una uzoefu nazo kaka?zipo kariakoo, kuna frem ya mhindi pale karibu na bank ya DTB anauza ebike (ipo kati ya kituo cha faya na msimbazi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafika, hiyo frem ipo kati ya kituo cha faya na kituo cha msimbazi. Unaweza ukashuka faya ukawa unatembea kama unaelekea msimbazi au ukachukia msimbazi ukawa unatembea kama unaelekea faya. Ukiikaribia bank ya DTB utaziona zipo nyingi kwa nje ya frem
asante sana mkuuUnafika, hiyo frem ipo kati ya kituo cha faya na kituo cha msimbazi. Unaweza ukashuka faya ukawa unatembea kama unaelekea msimbazi au ukachukia msimbazi ukawa unatembea kama unaelekea faya. Ukiikaribia bank ya DTB utaziona zipo nyingi kwa nje ya frem
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ulifanikiwa kupata iyo baiskeli ya umeme? naomba mrejesho tafadhali kama hautajalihabari wakuu,naomba mnisaidie ni mahali gani kwa dsm wanauza e bikes,na brand gani nzuri,imara na yenye spear zinazopatikana kwa wepesi,pia nisaidieni mawazo mengine kuhusu hizi ebikes kwa wazoefu..
asanteni ninawakilisha wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
japo bado sijanunua,ila zipo pale msimbazi kama unaele fire upande wa kushoto,zinaitwa LinkalMkuu ulifanikiwa kupata iyo baiskeli ya umeme? naomba mrejesho tafadhali kama hautajali
Vip unaweza kuwa unajua bei yake?
Kg80 inauzwa laki sita600000 na kg100wanauza laki950000Vip unaweza kuwa unajua bei yake?
kuna zenye betri tatu,40km per charge,690k na za betri 4,70km per charge 850kVip unaweza kuwa unajua bei yake?
picha ya 2, zote 'mbili' bei inaendaje chief ?
1.35mpicha ya 2, zote 'mbili' bei inaendaje chief ?
pamoja na uyo dada ?1.35m
kuwa seriouspamoja na uyo dada ?