Napata wapi eneo zuri lenye maji kwa ajili ya kufuga samaki aina ya kambare kwa Mwanza?

Napata wapi eneo zuri lenye maji kwa ajili ya kufuga samaki aina ya kambare kwa Mwanza?

Taja location, Mkoa + wilaya. Unaita umbali usizi km ngapi Toka man road ? Ukifafanua hapo utarahisisha kazi Yako.

Eneo ni kanda ya ziwa!!…
Lakini pia kama kuna sehemu ambayo ipo nje ya kanda ya ziwa mfano karibu na ziwa nyasa au tanganyika pia naweza kwenda ili mradi kuwe na fursa nzuri zaidi!!

Kwa sasa ni kanda ya ziwa
Km zozote kutoka main road
wilaya Magu,Misungwi,Ilemela
Mkoa mwanza
 
Eneo ni kanda ya ziwa!!…
Lakini pia kama kuna sehemu ambayo ipo nje ya kanda ya ziwa mfano karibu na ziwa nyasa au tanganyika pia naweza kwenda ili mradi kuwe na fursa nzuri zaidi!!

Kwa sasa ni kanda ya ziwa
Km zozote kutoka main road
wilaya Magu,Misungwi,Ilemela
Mkoa mwanza
Unahitaji kufugia ziwani kwenye vizimba?
 
Back
Top Bottom