Eneo ni kanda ya ziwa!!…
Lakini pia kama kuna sehemu ambayo ipo nje ya kanda ya ziwa mfano karibu na ziwa nyasa au tanganyika pia naweza kwenda ili mradi kuwe na fursa nzuri zaidi!!
Kwa sasa ni kanda ya ziwa
Km zozote kutoka main road
wilaya Magu,Misungwi,Ilemela
Mkoa mwanza