U Uzalendo wa Kitanzania JF-Expert Member Joined Mar 8, 2020 Posts 3,585 Reaction score 8,106 Mar 13, 2023 #1 Wadau hamjamboni nyote? Natafuta jiko bora kabisa na la kisasa la plate mbili. Nauliza napata wapi jiko hilo kwa hapa dsm na pia nauliza bei yake. Nauliza pia bei ya mtungi mkubwa wa gesi bora kabisa. Aksanteni sana wadau.
Wadau hamjamboni nyote? Natafuta jiko bora kabisa na la kisasa la plate mbili. Nauliza napata wapi jiko hilo kwa hapa dsm na pia nauliza bei yake. Nauliza pia bei ya mtungi mkubwa wa gesi bora kabisa. Aksanteni sana wadau.
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Mar 13, 2023 #2 Huna Picture Yoyote Wajuzi Watakuja Chap Kukuonyesha
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,048 Reaction score 15,465 Mar 13, 2023 #3 majiko yapo ya kioo, ya bati. yapo ya kuweka juu ya meza, ya kusimama yenyewe yapo ya kutoboa marble nk. sasa sijui tunaanzia wapi mkuu wangu
majiko yapo ya kioo, ya bati. yapo ya kuweka juu ya meza, ya kusimama yenyewe yapo ya kutoboa marble nk. sasa sijui tunaanzia wapi mkuu wangu
ngosha wa mwanza JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 3,832 Reaction score 11,964 Mar 13, 2023 #4 Westpoint kwangi ndo majiko bora kwa gas na nilinunua laki 20 zamani kidogo sijajua kwa sasa ni bei gani
Westpoint kwangi ndo majiko bora kwa gas na nilinunua laki 20 zamani kidogo sijajua kwa sasa ni bei gani