Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
Samaki wa bahari kanda ya ziwa???..jaribu kwa serious mleta uzi..siku ziwa likikauka ndio myb ziataanza kuletwa mwanza hizo samaki za baharini.Nahitaji kujua wanakopatikana samaki aina ya kibua au samaki wengine wa baharini mkoani Mwanza, daktari amependekeza nitumie mboga hiyo kuimarisha afya .
Tafadhali kama unajua wanakopatikana tusaidiane
mhenga ngosha muda umekutupa mkono👋 yan sato umeona awatoshi mpaka uanze kutafuta kibuwa😎Nahitaji kujua wanakopatikana samaki aina ya kibua au samaki wengine wa baharini mkoani Mwanza, daktari amependekeza nitumie mboga hiyo kuimarisha afya.
Tafadhali kama unajua wanakopatikana tusaidiane
omega 3 fatty acids ndo natafuta,sato na sangara hazina hii ktu kwa wingi.hizi fatty acids ni muhimu sana kwa afya hasa ya ubongo.mhenga ngosha muda umekutupa mkono👋 yan sato umeona awatoshi mpaka uanze kutafuta kibuwa😎
Aha saw mkuuomega 3 fatty acids ndo natafuta,sato na sangara hazina hii ktu kwa wingi.hizi fatty acids ni muhimu sana kwa afya hasa ya ubongo.
Unaumwa ubongo mkuu?🤣🤣🤣🤣omega 3 fatty acids ndo natafuta,sato na sangara hazina hii ktu kwa wingi.hizi fatty acids ni muhimu sana kwa afya hasa ya ubongo.
hahaha, mtaaalam mimi ni Software Engineer, kazi nnayofanya inahitaji intelligence ya hali ya juu sana, kusoma na kujifunza ni kila siku ,so nahitaji kuwa at the top of my game!Unaumwa ubongo mkuu?🤣🤣🤣🤣
Natania hope utawapata hao vibua
Toa mrejesho uliwapata ama?.hahaha, mtaaalam mimi ni Software Engineer, kazi nnayofanya inahitaji intelligence ya hali ya juu sana, kusoma na kujifunza ni kila siku ,so nahitaji kuwa at the top of my game!
sijaenda .Toa mrejesho uliwapata ama?.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mkuu vibua wapo Musoma kwenye super market ya alpha choice,kama zipo na Mwansa watembelee.sijaenda .