Napata wapi viatu hivi kwa hapa Dar?

Napata wapi viatu hivi kwa hapa Dar?

CEYLON

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2012
Posts
305
Reaction score
141
Habari?Nahitaji raba hizi pichani,mwenye kujua chimbo zinapopatikana anijulishe vinapopatikana.
Screenshot_20250302-210606.png
 
Hivi kuna kitu huwezi kufanya wewe? 😹
By professional mm ni anthropologist, ninafnya kaz za public health, social welfare n epidemiology au social work.

Lakin nina stadi za maisha nyingi tu, n nishafanya kaz ndogo ndogo nyingi n biashara nyingi tu. So ni jitihada z kupambana n chef nilisoma golden tulip airport unguja miez mi4
 
By professional mm ni anthropologist, ninafnya kaz za public health, social welfare n epidemiology au social work.

Lakin nina stadi za maisha nyingi tu, n nishafanya kaz ndogo ndogo nyingi n biashara nyingi tu. So ni jitihada z kupambana n chef nilisoma golden tulip airport unguja miez mi4
Uje ushushe Uzi mkuu
 
Back
Top Bottom