Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Wakuu wa jukwaa heri ya mwaka mpya.
Mnauonaje mwendo wa Arsenal kwenye mbio za ubingwa pale EPL.
Arsenal kama utani, anakimbiza mwizi kimya kimya, ligi ilivyoanza tukasema hafiki krisimasi atakuwa kashatoka kileleni.
Krisimasi pamoja na mwaka mpya umefika, naona kasi yao inazidi. Tunaemtegemea Man City nae anaanza kudondosha alama. Sasa gap ni alama 7.
Naanza kupatwa na wasiwasi, Arsenal chini ya Arteta inaweza ikatwaa ubingwa msimu huu kwa udhaifi wa timu kubwa nyingine.
Wasiwasi wangu ni kelele zao. wanasumbua sana, tutaweka wapi sura zetu?
Mnauonaje mwendo wa Arsenal kwenye mbio za ubingwa pale EPL.
Arsenal kama utani, anakimbiza mwizi kimya kimya, ligi ilivyoanza tukasema hafiki krisimasi atakuwa kashatoka kileleni.
Krisimasi pamoja na mwaka mpya umefika, naona kasi yao inazidi. Tunaemtegemea Man City nae anaanza kudondosha alama. Sasa gap ni alama 7.
Naanza kupatwa na wasiwasi, Arsenal chini ya Arteta inaweza ikatwaa ubingwa msimu huu kwa udhaifi wa timu kubwa nyingine.
Wasiwasi wangu ni kelele zao. wanasumbua sana, tutaweka wapi sura zetu?