Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpe Bei gan broNenda kwa hao watu umetajiwa hapo juu. Au njoo nikuuzie zangu nina laini ya airtel money na m pesa. Cheap sana.
Hii nakuuzia 45,000/- mkuu. Karibu sana.Nashida na ya airtel money unauza shs ngap?????
Mpesa ni 130,000/-Mpe Bei gan bro
Kwema ndugu,
Naombeni utaratibu wa kupata hizi lain za lipa hapa kwa M-Ppesa au Tigo Pesa.
Vigezo Ni kuwa na copy ya tin,leseni ya biashara na kitambulisho Cha taifa au Cha mpiga kura, namba ya nida na namba ya laini mpya na isiwezeshwe mpesa .Sawa.
Unatoa bure mara moja kwa siku. Ukitoa mara ya pili na kuendelea wanakata.Nasikia lipa kwa tigo pesa wameanza kukata ukitoa pesa.
Mteja analipa Kwa namba yako ya Lipa Namba. Makato ni madogo sana kwa mteja na wewe mwenye line kutoa pesa mara moja kwa siku ni bure.Hizo huduma za lipa naona baadhi ya watu wakija ofisi wanahitak sana..nahitaji nijue znafanyaje kazi
Sina uhakika. Natumia ya Tigo.Je kwa upande wa lipa kwa mpesa ukitoa nao wanakata???
Nipigiee 0744631088Kwema ndugu,
Naombeni utaratibu wa kupata hizi lain za lipa hapa kwa M-Ppesa au Tigo Pesa.