Napataje laini za Lipa kwa M-Pesa au Tigo Pesa?

Anayeuza line za tigo pesa na Mpesa aje chap na bei kabisa
 
Jaman mnao amisha pesa kutoka mtandao wa airtel money au halopesa kwenda lipa kwa Tigo kuweni makini leo mm nimeamisha 1,114,000/= kutoka airtel money kwenda lipa kwa tigo wamenikata 15,000/=.
Hata kulipa kutoka tigo kwenda lipa mpesa wanakata sawa sawa na kutoa pesa, tigo wana gharama sana.

Lakini kulipa kutoka airtel kwena mpesa gharama ni ndogo sana karibu sawa na mpesa to lipa mpesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…