D Metakelfin JF-Expert Member Joined Mar 23, 2017 Posts 3,399 Reaction score 3,666 Jul 9, 2022 #21 Anayeuza line za tigo pesa na Mpesa aje chap na bei kabisa
Shin Lim JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 7,837 Reaction score 14,198 Sep 11, 2022 #22 rich1 said: Jaman mnao amisha pesa kutoka mtandao wa airtel money au halopesa kwenda lipa kwa Tigo kuweni makini leo mm nimeamisha 1,114,000/= kutoka airtel money kwenda lipa kwa tigo wamenikata 15,000/=. Click to expand... Hata kulipa kutoka tigo kwenda lipa mpesa wanakata sawa sawa na kutoa pesa, tigo wana gharama sana. Lakini kulipa kutoka airtel kwena mpesa gharama ni ndogo sana karibu sawa na mpesa to lipa mpesa.
rich1 said: Jaman mnao amisha pesa kutoka mtandao wa airtel money au halopesa kwenda lipa kwa Tigo kuweni makini leo mm nimeamisha 1,114,000/= kutoka airtel money kwenda lipa kwa tigo wamenikata 15,000/=. Click to expand... Hata kulipa kutoka tigo kwenda lipa mpesa wanakata sawa sawa na kutoa pesa, tigo wana gharama sana. Lakini kulipa kutoka airtel kwena mpesa gharama ni ndogo sana karibu sawa na mpesa to lipa mpesa.
Shin Lim JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 7,837 Reaction score 14,198 Sep 11, 2022 #23 D Metakelfin said: Anayeuza line za tigo pesa na Mpesa aje chap na bei kabisa Click to expand... Ni buree, wasiliana na vodacom.
D Metakelfin said: Anayeuza line za tigo pesa na Mpesa aje chap na bei kabisa Click to expand... Ni buree, wasiliana na vodacom.
J John7371 JF-Expert Member Joined Apr 29, 2018 Posts 2,994 Reaction score 6,676 Sep 11, 2022 #24 rich1 said: Je kwa upande wa lipa kwa mpesa ukitoa nao wanakata??? Click to expand... Ina charges lakini kidogo sana, na kwenye kutoa njia ya kuepuka makato makubwa ni kuhamishia benki ndo utoe
rich1 said: Je kwa upande wa lipa kwa mpesa ukitoa nao wanakata??? Click to expand... Ina charges lakini kidogo sana, na kwenye kutoa njia ya kuepuka makato makubwa ni kuhamishia benki ndo utoe