WatesiWETU
Senior Member
- Jan 2, 2022
- 106
- 248
Habarini Guys.
Nimepata idea ya Kukamua Mafuta ya Mawese au ya Mchikichi ila sasa malighafi ya uhakika na bei rafiki ndio najaribu kuwaza.. inapatikana wapi kwa wingi??
Kama una uzoefu wa Ukamuaji wa Mawese na Mchikichi naomba unisaidie kujua yafuatayo:
1. Mkoa wenye uhakika wa Mchikichi na Mawese!
2. Gharama za mashine ya Kukamulia yakuanzia siyo zile kubwa sana
3. Changamoto za kuyafanyia refine na hatuazake..
Asanteni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nimepata idea ya Kukamua Mafuta ya Mawese au ya Mchikichi ila sasa malighafi ya uhakika na bei rafiki ndio najaribu kuwaza.. inapatikana wapi kwa wingi??
Kama una uzoefu wa Ukamuaji wa Mawese na Mchikichi naomba unisaidie kujua yafuatayo:
1. Mkoa wenye uhakika wa Mchikichi na Mawese!
2. Gharama za mashine ya Kukamulia yakuanzia siyo zile kubwa sana
3. Changamoto za kuyafanyia refine na hatuazake..
Asanteni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app