Mzurulaji
JF-Expert Member
- Sep 25, 2021
- 283
- 639
Wakuu habari zenu, natumai mko poa.
Nimekuwa mpenzi wa vitabu kwa muda mrefu, pia nimewahi kusoma vitabu vingi, ila niseme tu hichi kitabu sikuwahi kukimaliza nadhani wakati kinatoka sikuwa interest sana. Mwandishi ni Zabroni C. Chacha.
Kama unacho kiangushe hapa au nitumie Pm tafadhali.
Nimekuwa mpenzi wa vitabu kwa muda mrefu, pia nimewahi kusoma vitabu vingi, ila niseme tu hichi kitabu sikuwahi kukimaliza nadhani wakati kinatoka sikuwa interest sana. Mwandishi ni Zabroni C. Chacha.
Kama unacho kiangushe hapa au nitumie Pm tafadhali.