hicho hpo nimewapaWakuu habari zenu, natumai mko poa.
Nimekuwa mpenzi wa vitabu kwa muda mrefu, pia nimewahi kusoma vitabu vingi, ila niseme tu hichi kitabu sikuwahi kukimaliza nadhani wakati kinatoka sikuwa interest sana. Mwandishi ni Zabroni C. Chacha.
Kama unacho kiangushe hapa au nitumie Pm tafadhali.
Tuma vitabu vingine mkuu!!hicho hpo nimewapa
Wapenda vitongaTuma vitabu vingine mkuu!!
Mkuu una muendelezo wake?hicho hpo nimewapa
Asante sana mkuu tusonge nayoo. Watu wanavitabu vina maarifa sana hasikwambie mtu.Adam shafi View attachment 2519182
hicho hpo nimewapa
Mkuu,zipo pave 32 tuu mkuuAdam shafi View attachment 2519182
Binafsi kushika bunduki niwe jambazi kama wewe siwezi so ni mwendo wa kuterezaWapenda vitonga