Napatwa na njaa kali kila wakati!

cha kwanza kabisa kunywa dawa ya minyoo asbh kabla ya kula kitu then leta mrejesho hapa. Binafsi naitamani sana hamu ya kula
 
kuanzia kesho asubuhi ukiamka tafuna kitunguu saum kama punje tatu kabla hata ya kuswaki then endelea na mishe zako, fanya hivyo kwa siku tatu
 
mwili unaita uo! utanenepa kama Peter msechu . hiyo hali naitamani sana maana chakula na mimi hatupatani kabiasa nakosa hamu ya kula sana sijui shida nini.
 
Tafuna punje za vitunguu swaumu kuanzia tano hadi kumi kila unapoenda kulala.
Vitunguu swaumu vinafanya kazi ya kusafisha bakteria wote wabaya tumboni pia hata minyoo
Pia usipende kula hadi ukavimbiwa
 
nenda spital ukapime sukari ,, (blood glucose)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…