Hivi nyie wanasiasa watanzania lini mtaacha malumbano yasio na maana na kuongelea matatizo ya watanzania na jinsi gani yakuyatatua. Hii JF nikama sehemu moja inaitwa mabwawa 7 karibia na Chuo Kikuu UDSM. Papo karibu na akili za Tanzania lakini pamejaa mavi matupu. Tuongeleeni matatizo makuu ata ma 5 au kumi ambayo yanakabili Tanzania na jinsi ya kuyatatua. Wenzetu wanafanya mambo ya nano-engineering huko sisi tunashindwa ata kuchonga madawati mpaka vodacom waje watufanyie wakati kuna jeshi lisilo pigana vita, vijana chungumzima hawafanyi kazi yoyote. Acheni kujadiliana propaganda. TUAMKE BASI JAMANI!