Nape ahudhuria sherehe za kuagwa wanafunzi wa UDOM ambao ni makada wa CCM

naomba majina yao hao 'wasomi' then niwa-mark hakuna kupata kazi ofisini kwangu
 
wengi wao ni watoto wa mafisadi, watoto wa walalahoi nadra sana kuchanganyana na watoto wa mafisadi
 
Hakuna chama kilichothabiti na imara kama ccm na ndicho pekee kilicho na dira ya kutekeleza azima ya maendeleo ya watanzania na kuweka mikakati thabiti ya wahitimu wote wa vyuo vikuu kuajiriwa katika sekta mbalimbali kulingana na uhitimu wa kozi zao kwa manufaa ya maendeleo ya taifa hili la tanzania.Nape big up kwa kukubali ombi la hao vijana wanatambua mchango wako kwa taifa kama kiongozi na kijasna mwenzao.
 
kazi sio lazima uwaajiri wewe wataajiriwa na wengine tu hakuna shaka katika hilo, ww subiri wale wa kwako wa NCCR MAGUNIA, CHAGA DELOPMENT MANIFESTO ndio utawaajiri sio shida vema kabisa hilo, wala hujakosea mwajiri anaajiri kulingana na mahitaji aliyonayo endelea kufauatilia mziki wa CCM kwani ni CDDDDDDDD-700MB upo ndugu?
 
Hongereni vijana wa udom kwa kuitimu na hongera kamanda mpambanaji nape nauye kwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe hiyo ya kuhitimu kwa vijana wetu.
 
Wache waendelee kutapatapa udom kwa sasa ipo under chadema na magamba yao yanazidi kukimbiwa.
 
jtjt
Ajabu kwelikweli kisima umechimba wewe naukatumbukia mwenyewe. Badala ya kutoa majibu ya matatizo yanayowakabili waTZ umeishia kulalama nakuporomosha mitusi.
Sasa tofauti yako na unaowalaumu ni hipi hapa sijaona la maana ulilochangia zaidi ya kuonyesha uhodari wako wakutumia lugha chafu.
 
<br />
<br />
Wanaowashwa utawajua 2.
 
Hivi hapo wakristo hawapo mana wakristo wanachukiwa sana na ccm
 
Nape kama kawaida yake huyooooooooooo keshakimbia. Hutamwona tena hapa kujibu hoja. Si JF tu hata kwenye ukurasa wake wa facebook.:A S 103::biggrin1:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…