Nape aliona mbali sana kuhusu Magufuli kuongezewe muda, aliuliza je akifa? Hakuna aijuaye kesho

Nape aliona mbali sana kuhusu Magufuli kuongezewe muda, aliuliza je akifa? Hakuna aijuaye kesho

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Hii ni video ambayo Nape alifanyiwa mahojiano mwezi wa 2 wakati Bunge likiendelea, kuna wabunge waliokuwa wakianza kusema Magufuli aongezewe muda atake ama asitake.

Sasa maoni ya Nape ni kuwa hawajui kesho ni nani atakuwepo ama hatakuwepo (akimaanisha hata JPM anaweza kudondoka muda wowote) na hata kama watamuongezea bado Mungu atamchukua tu, so solution ilikuwa ni kujenga taasisi imara

 
Si anatuhumiwa ni moja ya wanaohodhi accnt ya Kigogo ....
 
Duuuh eti anasema "Tutamuongezea Muda hadi lini kama si Mungu basi Sisi " sijaelewa wazee alimaanisha nini
 
Back
Top Bottom