picha ya pili na nne mwisho ni utovu wanidhamu
picha ya pili na nne mwisho ni utovu wanidhamu
rip sharo "oooh maaama" milionea
nape na ccm yao wanakurupukia mambo bila hata kujiuliza...mbona marehemu alikuwa "m4c"...
ushauri rahisi kwa nape na wenzake type zake huko ccm ..wasikilize wimbo wa mrisho mpoto ...chocheeni kuni mbichi ugali usongwe"...mmekuja msibani na kuwapa wafiwa zawadi ya sabuni za unga aliyewaambia nguo zetu chafu nani?
Kwanini ni UTOVU wa NIDHAMU?
kama huwezi kuzisoma hizo picha na kuona matatizo yaliyomo basii sina la zaida la kukusaidia
NDIO MAANA TUNA JAMII FORUMS... Kama MTU HAELEWI HOJA anauliza SWALI sio KUACHWA kwenye DIM LIGHTS as USUAL kwahiyo tusinge WEKA HIZO PICHA????
BE REAL MAN... SHARING is WHAT we NEED not HOLDING DOWN your EMOTIONS!!!
okey siku zote mwalimu hodari humuuliza mwanafunzi kaelewa nini kabla ya kumfundisha kwa usahihi, karibu uniambie umeelewa nini kwa mtizamo wako ?
Maombolezo ya Msanii Mashuhuri
Wednesday, November 28, 2012
Nape kweli Mgongo Haupindi
Baadhi ya wasanii wa muziki wa bongo fleva na filam Tanzania, wakiwa kwenye mazishi ya Sharo milionea