Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
Kuna picha nimeona jeneza lililobeba mwili wa marehemu limefunikwa kwa bendera ya CCM.
Ni ndugu waliomba iwe hivo au kijana alikuwa na uongozi CCM au ndo kutafuta political popularity kwenye mazishi,unaweza kufuata hiyo link kwa picha.
http://4.bp.blogspot.com/-_Oox3SjoH6A/ULbtJQhs4dI/AAAAAAACROw/gVOq-KDXYmg/s1600/sharo.jpg
Basi sawa kama ni hivo,sikuelewa nilidhani ndo rangi ya CCMMkuu kwa haraka haraka unaweza ukadhani hivyo, lakini katika Uislam rangi ya kijani hutumika sana. angalia bendera ya Saudia Arabia na nchi zengine za kiislam utakuta rangi ya kijani ndio iliotumika.
sasa whether ile iliwekwa na CCM au ni bahati tu hapo siwezi kujua
Kuna picha nimeona jeneza lililobeba mwili wa marehemu limefunikwa kwa bendera ya CCM.
Ni ndugu waliomba iwe hivo au kijana alikuwa na uongozi CCM au ndo kutafuta political popularity kwenye mazishi,unaweza kufuata hiyo link kwa picha.
http://4.bp.blogspot.com/-_Oox3SjoH6A/ULbtJQhs4dI/AAAAAAACROw/gVOq-KDXYmg/s1600/sharo.jpg
Usilete mambo yasiyokuwa na msingi, Jeneza halikuwa na viashiria vyovyote vya CCM hivyo vitambaa vilivyokuwa vimefunikwa ni vitambaa tu ambavyo vina rangi ya kijani lakini havina maana na CCM
jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.....wahenga hawakukosea
Mkuu kwa haraka haraka unaweza ukadhani hivyo, lakini katika Uislam rangi ya kijani hutumika sana. angalia bendera ya Saudia Arabia, libya , uae, oman na nchi zengine za kiislam utakuta rangi ya kijani ndio imetumika kwa njia moja au nyengine. Hata nembo ya OIC rangi ya kijani pia ilitumika
sasa whether ile iliwekwa na CCM au ni bahati tu hapo siwezi kujua. lakini vitambaa vingi vya misikitini huwa ni rangi kijani.
Mkuu kwa haraka haraka unaweza ukadhani hivyo, lakini katika Uislam rangi ya kijani hutumika sana. angalia bendera ya Saudia Arabia, libya , uae, oman na nchi zengine za kiislam utakuta rangi ya kijani ndio imetumika kwa njia moja au nyengine. Hata nembo ya OIC rangi ya kijani pia ilitumika
sasa whether ile iliwekwa na CCM au ni bahati tu hapo siwezi kujua. lakini vitambaa vingi vya misikitini huwa ni rangi kijani.
Kwa kifupi hapa.JF huwa.tunasema mtoa.mada amekurupuka...
CCM ni FREEMASONRY,,,
Don't take anything by chance; CCM hawachelewi kuchemsha na wala mtoa mada hajakurupuka hata kidogo
kwahiyo hao waliovaa sare za chama waliambiwa kuna kikao au mkutano wa chama?Kwa kifupi hapa.JF huwa.tunasema mtoa.mada amekurupuka...