jafary mashaka
New Member
- Aug 6, 2013
- 1
- 0
Hivi kuridhika kunatokana na maoni kukidhi matakwa ya chama?au anaridhishwa na jinsi wajumbe wanavyochangia, au labda ameridhika kuwepo kwa vikwazo dhidi ya wajumbe wameshindwa kujinasibu ktk kutoa maoni kwa uhuru