Nape akisema 10 usishike hata moja. Huyu siye aliyekuja na kauli mbiu ya "Kujivua Gamba"? Nani alijivua? Badala yake watu "Wakavaa Ngao" na "kuwaesrow" Watanzania.
Langu Jicho.
Tayari wanawajua mafisadi nape ameanza vitisho mgogoro wa jengo la vijana morogoro road dsm kulikuwa na mkono wa fisadi katika kuboresha jengo hilo si kumbuki vizuri !