MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Namsikiliza hapa Nape Nnauye anafanya mahojiano na redio ya jamii MAENDELEO FM.
Nape ameulizwa kama CCM itatumia goli LA mkono kwenye uchaguzi huu .
Nape: Uchaguzi huu ni mwepesi sana kwa CCM hata hamna haja ya goli la mkono hata kama tungehitaji goli la mkono VAR ya upinzani ni mbovu kabisa na screen yake imevunjika.
Nape ameulizwa kama CCM itatumia goli LA mkono kwenye uchaguzi huu .
Nape: Uchaguzi huu ni mwepesi sana kwa CCM hata hamna haja ya goli la mkono hata kama tungehitaji goli la mkono VAR ya upinzani ni mbovu kabisa na screen yake imevunjika.