Nape: Hata mimi nataka Katiba Mpya

Nape: Hata mimi nataka Katiba Mpya

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Waziri wa Mawasiliano Nape Nnauye amesema ubaya uliopo ni kuwa wanaohitaji katiba Mpya wanahitaji kwa kudai badala ya kuwa na majadiliano kati yao na serikali. Katiba Mpya ni majadiliano katika wadau wote, isionekane kuna mtu anadai, kumdai mwingine.

Amesema hakuna asiyehitaji katiba mpya, watu wote wanataka katiba mpya kwa kuwa kila mmoja anahitaji maisha bora hata yeye anahitaji katiba mpya

Ameyasema hayo katika kipindi cha Dakika 45 ITV, Jumatatu, Machi 6, 2023. Katika kuzungumzia suala la mitandao kuzimwa amesema wala serikali haikuzima mtandao wa ClubHouse.
 
Waziri wa Mawasiliano Nape Nnauye amesema ubaya uliopo ni kuwa wanaohitaji katiba Mpya wanahitaji kwa kudai badala ya kuwa na majadiliano kati yao na serikali. Katiba Mpya ni majadiliano katika wadau wote, isionekane kuna mtu anadai, kumdai mwingine.

Amesema hakuna asiyehitaji katiba mpya, watu wote wanataka katiba mpya kwa kuwa kila mmoja anahitaji maisha bora hata yeye anahitaji katiba mpya

Ameyasema hayo katika kipindi cha Dakika 45 ITV, Jumatatu, Machi 6, 2023. Katika kuzungumzia suala la mitandao kuzimwa amesema wala serikali haikuzima mtandao wa ClubHouse
IMG20230306213855.jpg

Ao wana katiba mpya yao tayar iko kwenye makabati! Watakachofanya hapo ni kubadili rangi ya gamba tu ilo.
 
Sasa ujadiliane na nani wakati kila kitu kipo wazi toka katiba pendekezwa ya jaji Warioba ikae mbele ya wenye nchi!.
Ndio hapo sasa. Yaani ccm hawataki kukubari kwamba hoja ya Katiba Mpya ilianzishwa na Chadema. Walitarajia iwe wao.
 
Waziri wa Mawasiliano Nape Nnauye amesema ubaya uliopo ni kuwa wanaohitaji katiba Mpya wanahitaji kwa kudai badala ya kuwa na majadiliano kati yao na serikali. Katiba Mpya ni majadiliano katika wadau wote, isionekane kuna mtu anadai, kumdai mwingine.

Amesema hakuna asiyehitaji katiba mpya, watu wote wanataka katiba mpya kwa kuwa kila mmoja anahitaji maisha bora hata yeye anahitaji katiba mpya

Ameyasema hayo katika kipindi cha Dakika 45 ITV, Jumatatu, Machi 6, 2023. Katika kuzungumzia suala la mitandao kuzimwa amesema wala serikali haikuzima mtandao wa ClubHouse
Emu subiri kipindi kiishe tafadhali

Mbona unavunja ethics za uandishi wa taarifa?
 
Na kwa kauli yake ya kugawana rasilimali kwa usawa, inaonesha kuna sintofahamu kwenye ugawaji wa rasilimali za umma, ndio maana kila mmoja najichotea tu. Sema Farhia hajagongelea msumali hapo
 
Emu subiri kipindi kiishe tafadhali

Mbona unavunja ethics za uandishi wa taarifa?
Kwahiyo tuache kucomment?
Mbona wachambuzi wanachambua mechi ya mpira wakati bado unaendelea?
 
Utawala wa Magufuli umewafanya watu waone umuhimu wa Katiba mpya.
 
Waziri wa Mawasiliano Nape Nnauye amesema ubaya uliopo ni kuwa wanaohitaji katiba Mpya wanahitaji kwa kudai badala ya kuwa na majadiliano kati yao na serikali. Katiba Mpya ni majadiliano katika wadau wote, isionekane kuna mtu anadai, kumdai mwingine.

Amesema hakuna asiyehitaji katiba mpya, watu wote wanataka katiba mpya kwa kuwa kila mmoja anahitaji maisha bora hata yeye anahitaji katiba mpya

Ameyasema hayo katika kipindi cha Dakika 45 ITV, Jumatatu, Machi 6, 2023. Katika kuzungumzia suala la mitandao kuzimwa amesema wala serikali haikuzima mtandao wa ClubHouse
Kuna mahala wanakaa wanatucheka
 
Waziri wa Mawasiliano Nape Nnauye amesema ubaya uliopo ni kuwa wanaohitaji katiba Mpya wanahitaji kwa kudai badala ya kuwa na majadiliano kati yao na serikali. Katiba Mpya ni majadiliano katika wadau wote, isionekane kuna mtu anadai, kumdai mwingine.

Amesema hakuna asiyehitaji katiba mpya, watu wote wanataka katiba mpya kwa kuwa kila mmoja anahitaji maisha bora hata yeye anahitaji katiba mpya

Ameyasema hayo katika kipindi cha Dakika 45 ITV, Jumatatu, Machi 6, 2023. Katika kuzungumzia suala la mitandao kuzimwa amesema wala serikali haikuzima mtandao wa ClubHouse.
Nape amelamba asali ya bhugwi kutoka chadema.
 
Nchi hii haiishi vituko. Huyo aliyekua anashambulia wanamabadiliko ndio huyo tena.
Enzi hizo watu walitukanwa na waliojiona wanahatimiliki na nchi hii.

Siasa zisizo zauhasama za mama zinawachanganya hao wabaguzi
 
Back
Top Bottom