Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Waziri wa Mawasiliano, Nape Nnauye amesema amesikia uvumi ya kuwa serikali ina mpango wa kuzuia VPN, amesema suala hilo haliwezekani, wala serikali haina mpango huo
Hata hivyo, amesema mtu akikutwa amefanya kosa la kimtandao huku akitumia VPN atahukumiwa kwa makosa hayo. Kwasasa hakuna sheria inayojinaisha matumizi ya VPN.
Amesema kwa sasa serikali imezuia picha za ngono, kama kuna mtu anatumia VPN kuzipata picha hizo shauri yake.
Hata hivyo, amesema mtu akikutwa amefanya kosa la kimtandao huku akitumia VPN atahukumiwa kwa makosa hayo. Kwasasa hakuna sheria inayojinaisha matumizi ya VPN.
Amesema kwa sasa serikali imezuia picha za ngono, kama kuna mtu anatumia VPN kuzipata picha hizo shauri yake.