lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Ukweli wa kwanza wa nape ni pale aliposema CCM itashinda hata kwa goli la mkono. Sio TU alitoa kauli hii Bali alishiriki kifanikisha goli la mkono,ingawa baadae yeye na wenzake walibatizwa kwa moto.
Kauli ya pili ya ukweli aliyoitoa ni hii ya Sasa kua CCM haitegemei kura zilizopigwa,Bali inategemea muhesabu kura na mtangaza matokeo.
Hizi kauli mbili ni kauli za kweli kabisa na ndio maisha ya CCM wao kwa wao au wao dhidi ya wengine.
Alichokisema ni kweli kabisa na wanaomkosoa huko kwao wao ndio wanasema uongo
Lakini pia nape aliwahi kutoa kauli kulingana na vie alivyokua anajisikia moyoni mwake baada ya Jiwe kuanguka,
Alisema kua,"Mungu amemaliza kesi",ni kesi Gani?,anajua yeye.
Katika amri kumi za Mungu Kuna amri moja inasema usiseme uongo, hapa Nape kasema ukweli.
Nape apewe maua yake Kwa tabia yake ya ukweli. Kwa sababu kwenye chama Chao Kuna kauli mbiu inasema "nitasema kweli daima,fitina kwangu ni mwiko"
Pia soma:Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani
Kauli ya pili ya ukweli aliyoitoa ni hii ya Sasa kua CCM haitegemei kura zilizopigwa,Bali inategemea muhesabu kura na mtangaza matokeo.
Hizi kauli mbili ni kauli za kweli kabisa na ndio maisha ya CCM wao kwa wao au wao dhidi ya wengine.
Alichokisema ni kweli kabisa na wanaomkosoa huko kwao wao ndio wanasema uongo
Lakini pia nape aliwahi kutoa kauli kulingana na vie alivyokua anajisikia moyoni mwake baada ya Jiwe kuanguka,
Alisema kua,"Mungu amemaliza kesi",ni kesi Gani?,anajua yeye.
Katika amri kumi za Mungu Kuna amri moja inasema usiseme uongo, hapa Nape kasema ukweli.
Nape apewe maua yake Kwa tabia yake ya ukweli. Kwa sababu kwenye chama Chao Kuna kauli mbiu inasema "nitasema kweli daima,fitina kwangu ni mwiko"
Pia soma:Kuelekea 2025 - Nape Nnauye: Kauli ya "Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza" ilikuwa ni ya utani