Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Nimekumbuka kuna siku tuliambiwa kuna mawaziri wanalipa watu wamtukane Mama mitandaoni. Wakati ule upepo wa matusi ulivuma sana kwa muda mfupi kisha ukazima
Naamini mfumo ulifanyia kazi maelekezo ya mwenye nchi kuona tatizo lipo wapi. Je haiwezekani ripoti imetoka na mapendekezo ya ripoti husika yanaendelea?
Baada ya ripoti hii kutoka wengine waliopo nyuma ya skendo hizi ni wakina nan?
PIA SOMA
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
Naamini mfumo ulifanyia kazi maelekezo ya mwenye nchi kuona tatizo lipo wapi. Je haiwezekani ripoti imetoka na mapendekezo ya ripoti husika yanaendelea?
Baada ya ripoti hii kutoka wengine waliopo nyuma ya skendo hizi ni wakina nan?
PIA SOMA
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri