Pre GE2025 Nape, Januari na Kinana ndio wale waliotajwa kutukana mitandaoni? Wengine ni wakina nani?

Pre GE2025 Nape, Januari na Kinana ndio wale waliotajwa kutukana mitandaoni? Wengine ni wakina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Nimekumbuka kuna siku tuliambiwa kuna mawaziri wanalipa watu wamtukane Mama mitandaoni. Wakati ule upepo wa matusi ulivuma sana kwa muda mfupi kisha ukazima

Naamini mfumo ulifanyia kazi maelekezo ya mwenye nchi kuona tatizo lipo wapi. Je haiwezekani ripoti imetoka na mapendekezo ya ripoti husika yanaendelea?

Baada ya ripoti hii kutoka wengine waliopo nyuma ya skendo hizi ni wakina nan?

PIA SOMA
- Paul Makonda atishia kuwataja wanaolipa watu 'Kumtukana Rais Samia mitandaoni', wamo Mawaziri
 
Ukivuka mto kwa kutumia daraja, kamwe usidharau ubora wa daraja. Hakikisha wengi wanapita hapo kabla hujaamua kulibomoa na kupanga kujenga daraja lingine.
 
Back
Top Bottom