LGE2024 Nape: Kimebaki chama kimoja tu vingine vyote ni kopi. Niliwaambia wapinzani Refa akishaweka mpira kati ni Goli!

LGE2024 Nape: Kimebaki chama kimoja tu vingine vyote ni kopi. Niliwaambia wapinzani Refa akishaweka mpira kati ni Goli!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Nape asema, vyama vikikaribia kufa wanaanza kugombana, kama ilivyokuwa kwa Mrema na CHADEMA wanaelekea huko huko. Hivyo watu wasipoteze muda kwenye chama kingine, kwani chama original ni kimoja tu; CCM, vingine vyote ni kopi.

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mbunge Nape Nnauye ameyasema hayo akiwa Simiyu katika kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa huko Simiyu Novemba 21, 2024.



 
Wakuu,

Nape asema, vyama vikikaribia kufa wanaanza kugombana, kama ilivyokuwa kwa Mrema na CHADEMA wanaelekea huko huko. Hivyo watu wasipoteze muda kwenye chama kingine, kwani chama original ni kimoja tu; CCM, vingine vyote ni kopi.

Mbunge Nape Nnauye awakaanga wapinzani kwenye Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa huko Simiyu.​


View attachment 3157495

 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 2
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 3
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 2
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Nape ndani ya chama, huwa anaupiga mwingi sana, anawajuwa vizuri sana hao academia! He know how to fix them.
 
Wakuu,

Nape asema, vyama vikikaribia kufa wanaanza kugombana, kama ilivyokuwa kwa Mrema na CHADEMA wanaelekea huko huko. Hivyo watu wasipoteze muda kwenye chama kingine, kwani chama original ni kimoja tu; CCM, vingine vyote ni kopi.

Mbunge Nape Nnauye awakaanga wapinzani kwenye Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa huko Simiyu.​


View attachment 3157495

CCM haipingani kabisa, kwa hiyo yenyewe imeshakufa?
 
Wakuu,

Nape asema, vyama vikikaribia kufa wanaanza kugombana, kama ilivyokuwa kwa Mrema na CHADEMA wanaelekea huko huko. Hivyo watu wasipoteze muda kwenye chama kingine, kwani chama original ni kimoja tu; CCM, vingine vyote ni kopi.

Mbunge Nape Nnauye awakaanga wapinzani kwenye Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa huko Simiyu.​


View attachment 3157495

Safi sana kampeni ziendelee tupate viongozi bora
 
Kikeke: Mh Makonda wale mawaziri wawili uliosema wanamsimanga Rais ulishawasemelea Kwa mama?

Makonda: Kwani wako wapi?

Siasa bhana 😂
 
Kama mna uhakika wa kwamba mtashinda huo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kwanini Wagombea wa Upinzani mnawaengua?

Kitendo cha kuwaengua, kinaonesha ni jinsi gani msivyojiamini
 
Kwa ninj Nape siasa yeye huwa anaichukulia kama mpira tu siku zote??
 
Wakuu,

Nape asema, vyama vikikaribia kufa wanaanza kugombana, kama ilivyokuwa kwa Mrema na CHADEMA wanaelekea huko huko. Hivyo watu wasipoteze muda kwenye chama kingine, kwani chama original ni kimoja tu; CCM, vingine vyote ni kopi.

Mbunge Nape Nnauye awakaanga wapinzani kwenye Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa huko Simiyu.​


View attachment 3157495

NAPE NNAUYE: CCM INAZO NJIA NYINGI ZA KUPATA USHINDI, HAITEGEMEI KURA.
 
Wakuu,

Nape asema, vyama vikikaribia kufa wanaanza kugombana, kama ilivyokuwa kwa Mrema na CHADEMA wanaelekea huko huko. Hivyo watu wasipoteze muda kwenye chama kingine, kwani chama original ni kimoja tu; CCM, vingine vyote ni kopi.

Mbunge Nape Nnauye awakaanga wapinzani kwenye Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa huko Simiyu.​


View attachment 3157495

Sasa kama ni hivyo uchaguzi si uwe huru na haki waone matokeo?
 
Back
Top Bottom