LGE2024 Nape: Kimebaki chama kimoja tu vingine vyote ni kopi. Niliwaambia wapinzani Refa akishaweka mpira kati ni Goli!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Nape asema, vyama vikikaribia kufa wanaanza kugombana, kama ilivyokuwa kwa Mrema na CHADEMA wanaelekea huko huko. Hivyo watu wasipoteze muda kwenye chama kingine, kwani chama original ni kimoja tu; CCM, vingine vyote ni kopi.

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mbunge Nape Nnauye ameyasema hayo akiwa Simiyu katika kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa huko Simiyu Novemba 21, 2024.

Your browser is not able to display this video.


 
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 2
  • 20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 3
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 2
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Nape ndani ya chama, huwa anaupiga mwingi sana, anawajuwa vizuri sana hao academia! He know how to fix them.
 
CCM haipingani kabisa, kwa hiyo yenyewe imeshakufa?
 
Safi sana kampeni ziendelee tupate viongozi bora
 
Kikeke: Mh Makonda wale mawaziri wawili uliosema wanamsimanga Rais ulishawasemelea Kwa mama?

Makonda: Kwani wako wapi?

Siasa bhana 😂
 
Kama mna uhakika wa kwamba mtashinda huo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kwanini Wagombea wa Upinzani mnawaengua?

Kitendo cha kuwaengua, kinaonesha ni jinsi gani msivyojiamini
 
Kwa ninj Nape siasa yeye huwa anaichukulia kama mpira tu siku zote??
 
NAPE NNAUYE: CCM INAZO NJIA NYINGI ZA KUPATA USHINDI, HAITEGEMEI KURA.
 
Sasa kama ni hivyo uchaguzi si uwe huru na haki waone matokeo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…