Nape, Makamba, Kinana, Wamasai, Chadema na hasira za kutemwa=FURAHA YA WAPIGAJI?

Nape, Makamba, Kinana, Wamasai, Chadema na hasira za kutemwa=FURAHA YA WAPIGAJI?

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Boss lady atambue, hana uwezo wa kupambana na hila za wafitini wakimwamlia.

Kasi yake ya kuongeza u hasama inaendelea kushika kasi kwa mwendo kasi wa ajabu!

Kasi yake ya kujiongezea maadui inatishia mno salama yake ki siasa.

Nahofia hao hapo juu wakiungana kwa minajili ya kumdhoofisha ama kumfitini ki siasa kupitia makundi yanayoonekana kunyanyasika wakati wake huu wa Utawala.

Inafahamika binadamu sisi hujawa na vinyongo vyenye kisasi ndaniye kwa kile ambacho hudhani hatukutendewa haki hata palipo tendwa haki mfano kufutwa cheo.

Amejipangaje boss lady kupangua mapigo taraji kwake ki siasa? Jawabu analo mwenyewe.

Yetu macho.
 
Boss lady atambue, hana uwezo wa kupambana na hila za wafitini wakimwamlia.

Kasi yake ya kuongeza u hasama inaendelea kushika kasi kwa mwendo kasi wa ajabu!

Kasi yake ya kujiongezea maadui inatishia mno salama yake ki siasa.

Nahofia hao hapo juu wakiungana kwa minajili ya kumdhoofisha ama kumfitini ki siasa kupitia makundi yanayoonekana kunyanyasika wakati wake huu wa Utawala.

Inafahamika binadamu sisi hujawa na vinyongo vyenye kisasi ndaniye kwa kile ambacho hudhani hatukutendewa haki hata palipo tendwa haki mfano kufutwa cheo.

Amejipangaje boss lady kumpangua mapigo taraji kwake ki siasa? Jawabu analo mwenyewe.

Yetu macho.
Chezea vingine ila sio 'state' Africa no group of individual is a bove the state
 
Back
Top Bottom