Elections 2015 Nape: Mbowe aiuza rasmi CHADEMA kwa Lowassa

Hapa naamini sasa yale maneno ya yake ya kubadilishia gia angani,aligundua kuna baadhi ya wananchi hawajitambui,jamaa akaanzisha kitega uchumi fasta kwa mtaji wa lowasa,mchaga mchaga tu!Fursa imejitokeza afanyeje sasa??
 


Kiboko Vasco da gama kampuni zinapiga mzigo hata chembe ya kodi hazitoi
 
Halambee yenyewe hela wamezipiga hakuna hata taarifa zimepatikana ngapi na zimegawanywa vip
 

Mvulie na nguo ya kwanza
 
Wajinga kweli waliwao kama wewe ccm ilivyokukula akili!!
 

Tamaa ya Mbowe ni kupiga tuu. Pamoja na elimu yake ndogo lakini anasumbua graduate na Phd kama watu wa bodaboda.
 
Tulieni sindano ziwaingie mbowe ageuka star amfunika dimond mwaka huu ccm tutawafubaisha akili zenu Tanzania kwanza na mabadiliko ni lazima peopleeeeeeeeeeezzzzz UKAWA
 
Tulieni sindano ziwaingie mbowe ageuka star amfunika dimond mwaka huu ccm tutawafubaisha akili zenu Tanzania kwanza na mabadiliko ni lazima peopleeeeeeeeeeezzzzz UKAWA

Poweeeeeeeeeeeeeeeeer
 
Join Date : 26th September 2015
Posts : 103
Rep Power : 322
Likes Received57
Likes Given0
 
Mods sijui mmenunuliwa na Ccm...sometimes hamueleweki JF is not any more for great thinkers...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…