Nape Moses Nnauye afunga ndoa

Hongera Nape. katika maisha yako huyu ni mwanamke wako wa ngapi kutembea nae ? Kumbe ilikua na vogue lkn huna JIKO ? Tembo master card unayo ? lazima mzee wa tembo akupe wewe na mpnz wako wa sasa
 
Mbona hamsemi kaoa mkewe, huyo binti alijifungua mwaka jana, tena kajifungulia Marekani, Je huyo mtoto ni raia wa Tz? Kuna wapinzani walitukano sana huku, kisa watoto wao wamezaliwa USA! Je huyo wa Nape vipi!
 
Huyo ni binti wa Kikurya,babake ni marehemu mzee Mkami wa pale Tarime juu bomani.

Mambo yaligubikwa na usiri mkubwa sana,I think Nape alikwishaoa kabla

nasikia tabia ya wakurya ni lazima umpige mangumi kila wakati na usipofanya hivyo inaonekana humpendi,sasa kijana nape inabidi awe anakwenda kufanya mazoezi ya kupiga kila wakati
hahahahahahaha
 
Mimi nilifungua huu uzi haraka haraka nikitarajia bi harusi ni Juliana Shonza, kumbe sivyo.

Tiba
 
Hata mie hapa bado sijao kwani kamati ya ulinzi na usalama tunaenda na wake zetu?
Anthony Mtaka,Dc wa Mvomero hajaoa mpaka leo.

Hii kwa kweli si nzuri sana kwa mtu anaeongoza kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya.
 
Huyo ni binti wa Kikurya,babake ni marehemu mzee Mkami wa pale Tarime juu bomani.

Mambo yaligubikwa na usiri mkubwa sana,I think Nape alikwishaoa kabla

Ni kweli huyu jamaa alioa miaka kadhaa iliyopita. Kama sikosei ni mwaka 2006/7. Na ni mlokole. Sasa ndio najiuliza ni kwamba mke wake wa awali alifariki au kaachana nae? Na kama kaachana nae, ulokole ndio bye bye baada ya kujulikana sio?

Nimekumbuka tangazo la "Baki njia kuu. Epuka michepuko"!
 

ktk pozi,baada ya kuaga rasmi ukapela na kuingia ktk majukumu.Hongera sana na karibu ktk chama chetu cha wenye ndoa
waswahili wanasema "ndoa ndoano"

Sasa atulie na hata yale mapepe na uropokaji iwe mwisho!
 
Nape nakuuliza baba yako lowassa alihudhuria harusi yako?kama ndio weka picha umma ushuudie papaa
 

Hiyo picha yenyewe inaonyesha kama sio kanisa la Azania basi ni St. Joseph itakuwa kahama dhehebu teh
 
Kweli kabisa pale FPCT kwa mchungaji Abeli,Nape bwana

Dada nimeamini unamfahamu huyu mzee wa michepuko. Ila kweli watu wanabadilika. Enzi zile kijana kaokoka mwenyewe full kuabudu pale Amana Vijana Center, usingeamini angefunga ndoa ya kuzini (wakati mke wake halali yuko hai). Mke mwenyewe mbona kama kamzidi umri huyu? Mapenzi hayaoni kabisa?
 
Hiyo picha yenyewe inaonyesha kama sio kanisa la Azania basi ni St. Joseph itakuwa kahama dhehebu teh

Watu wanabadilika aisee. Ungekutana na huyu kijana miaka ya mwanzo ya 2000 ungedhani ni Balozi wa Yesu wa Nazareti duniani. Alikuwa akihubiri kwa kupayuka na hisia, ungeweza kumwamini na kumkabidhi binti yako alale nae ukiamini hatamtenda Mungu dhambi. Zilikuwepo tuhuma enzi zile kuwa alikuwa akiiga mahubiri ya wahubiri maarufu ili kuonekana ni mlokole daraja la I. Huenda jamaa ana kipaji cha maigizo huyu.
 
Mimi nilifungua huu uzi haraka haraka nikitarajia bi harusi ni Juliana Shonza, kumbe sivyo.

Tiba

Shonza ataishia kufanywa hasusa pale Lumumba lakini si kuolewa. Ni "kiburudisho" cha vijana wa Lumumba, huwa wanaacha sehemu ya zile buku 7 wanazolipwa!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Alishaoa kabla ya kuwa na cheo chochote akaboana na huyo dada bibie kahama na nchi kuona ujin.ga huo.
 
hapo akili yake ipo kalenga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…